mimi nimeipata hiyo 2020 Annual visitor survey jana jioni na sio mara mja kutokea kwenye page ya browser yangu ikinipa congraturation lakini nilikuwanazicancel zile page zikitokea, kwasababu kwenye zile page kunamaswali katika list za maswali nilijibu colum ya kwanza kama mm ni mtumiaji ninayetumia google mda wote halafu ikafunguka kuniuliza mm natumia browser gani kwenye internet nilitaja mozila ila mwishowe ili nishinde simu ya samsang Galaxy s 10 ilinitaka nilipie dola 20 ambayo ni sawa na sh kama 50,000 za tz ila ilesimu inauzwa dola nyingi kwamshindi anapunguziwa hadi dola ya chini kabisa dola 20 kama nimtumiaji mzuli wa google chrome , malipo ya kupata hiyo zawadi ya mimi mshindi wa Annual 2020 browser opinion survey ni kwa kutumia credit card yoyote ambayao ni ya visa, ila kwa sasa kwasasa nilitaka nitafute kadi yoyote ya bank ya viza ila kufanya process zote kupata visa card na iwe na dola 20 itanichukua mda, kama unaweza kunisaidia nisaidie. usisahau mimi ndiye mshindi wa annual hii 2020 kutoka Dar es salaam, kinondoni ila kwa sasa nipo ilala, gongolamboto, ulongoni A mtaa wa kwamkurugenzi, nafahamika kwajina langu halisi kama Innocent Gradius Bitha laini jina ninalotumia mtandaoni kama nick name ni emma makongo mimi ni mtanzania halisi. namba yangu ya simu ni 0743906934