Msaada: Kuna msamaha wa kibali cha kazi (work permit exemption) kwa mgeni aliyeolewa Tanzania?

Msaada: Kuna msamaha wa kibali cha kazi (work permit exemption) kwa mgeni aliyeolewa Tanzania?

Britmwandri Sr

New Member
Joined
Sep 19, 2020
Posts
3
Reaction score
0
Ninatanguliza heshima na shukurani.

Kwa mtu aliyeolewa Tanzania kwa zaidi ya miaka 10 na kuwa na watoto na mumewe, ikiwa hajafanya taratibu za uraia anaweza kupata cheti cha msamaha wa kibali cha kazi?

Iwapo anaweza kupata msamaha ninaomba kujua ni taratibu zipi za kufuata.

Asante.
 
Ninatanguliza heshima na shukurani.
Kwa mtu aliyeolewa Tanzania kwa zaidi ya miaka 10 na kuwa na watoto na mumewe, ikiwa hajafanya taratibu za uraia anaweza kupata cheti cha msamaha wa kibali cha kazi?
Iwapo anaweza kupata msamaha ninaomba kujua ni taratibu zipi za kufuata.
Asante.
Kwa Tanzania ya Magufuli hilo haliwezekani. Subiri hadi Oktoba 28 mara atakapovurumishwa kutoka Ikulu!
 
Kwa Tanzania ya Magufuli hilo haliwezekani. Subiri hadi Oktoba 28 mara atakapovurumishwa kutoka Ikulu!
Ok.
Je, Kabla ya Magu sheria iliruhusu msamaha kama huo? Ninafikiri kama dirisha hilo lilikuwepo pengine bado inawezekana japo itahitaji ufuatiliaji wa karibu
 
Utakua umeoa beberu jike kutoka kwenye nchi za mabeberu ambapo magu hana urafiki nao[emoji23][emoji23][emoji108]
Ok.
Je, Kabla ya Magu sheria iliruhusu msamaha kama huo? Ninafikiri kama dirisha hilo lilikuwepo pengine bado inawezekana japo itahitaji ufuatiliaji wa karibu
 
Mkuu kibali chake cha kazi kama kilishawekewa ukomo wake hapo hapana ujanja wowote..
Vingenevyo arudi alipotoka na aanze process zingine ili arejee nchini
Hii sheria iliowekwa awamu hii ya 5 inatutesa saaana hata sisi.ktk kampuni yetu
Anyway try to appeal lkn itakupotezea muda wako na.pesa zako tu..Mkuu pole saana
 
Back
Top Bottom