MSAADA: Kuna mtu ananisumbua, namuwajibishaje kipolisi na kisheria aache kabisa kunisumbua??

MSAADA: Kuna mtu ananisumbua, namuwajibishaje kipolisi na kisheria aache kabisa kunisumbua??

barafuyamoto

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
32,378
Reaction score
29,739
Habari zenu!
Kwa wale wanasheria na pia wajuzi wa sheria na taratibu za kipolisi, naombeni ushauri.

Binafsi sijui kabisa taratibu za kipolisi na pia kisheria, yaani jinsi ya kumuweka mtu ndani na kisha kumfungulia mashtaka.
Mimi kuna mtu ananisumbua sana hapa ninapokaa, anakuja na kunipigia kelele, yaani kelele za fujo kabisa.
Nataka nimfundishe adabu ajue kuwa nchi hii ina sheria na kila mtu ana uhuru wa kutokusumbuliwa. Sitaki kutumia nguvu yaani physical assault maana naweza jiweka mwenyewe matatizoni!
Taratibu za kumfikisha polisi ni zipi ikiwezekana hata akalale selo?
Asanteni!
 
Ya nini mkuu ayo kumweka ndani, mtafute mkae chini jishushe kiupole tu umweleze naamini ataelewa tu.
 
Kwan yy ni mpumbavu tuu aanze kukupigia kelele??? Kama mnakutanaga kwenye baa na midundiko sema.
Sema chanzo cha tatizo. Usitafute heshima ki mabavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwan yy ni mpumbavu tuu aanze kukupigia kelele??? Kama mnakutanaga kwenye baa na midundiko sema.
Sema chanzo cha tatizo. Usitafute heshima ki mabavu

Sent using Jamii Forums mobile app
Akili ni nywele, ila nafikiri wewe kichwa chako ni "uwanja wa ndege"!
Nimeweka uzi uko straight foward, suala la wewe kutaka kujua sababu ni UMBEA. Natumai wewe ni mwanamke!
 
Mkuu bila kueleza sababu za wewe kusumbuliwa hakuna mwanasheria yeyote awezaye kùkupa ushauri hapa

“Start where you are. Use what you have. Do what you can.”

 
Back
Top Bottom