Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Nimekuerewa"Iko hivi hawa mke na mme wanaishi nchi tofauti ila hapo nyuma walipendana sana tena sana na.wana watoto kadhaa. Sasa mme akapata michepuko hapa Tanzania.
Na kuna mchepuko aliupenda sana sana kupita mingine. Mke wake anaishi London na watoto. Sasa kuna siku mme akampigia mkewe simu akimwambia kuwa hamtaki tena na huyo mke anaweza endelea na maisha yake.
Mke alichanganyikiwa ila mme alisimamia msimamo wake. Basi ikabidi mke aikubali hiyo situation.
Hapo ilikuwa katikati ya 2020.Mke alihitaji mtoto mwingine hivyo akaamua kwenda kupandikiza mimba ya sperm donner asiyejulikana.
Maisha haya jamani. Kumbuka mme alimuacha huyu mke kwa matusi na udhalilishaji ingawa hawakupeana talaka rasmi.
Bwana we 2022. Mme yakamfika hapa. Akaamua kwenda UK kumuona mke na watoto. Si akakuta mwanamke ana Mimbaaaaa.
Mwanaume alidata. Hapa ndo patamu ilibidi mwanaume ageuze kurudi Dar eti akimlaumu mke why kabeba mimba ya mtu mwingine?
Tuwasaidieje hawa jamani hasa mwanaume. Maana alimuacha mwenzake kwa matusi leo analia jamoooni.
Wana MMU najua mnabusara tuwasaidie hawa jamani kiushauri.
Hivi ilikuwaje alipokuwa akipiga mimba haiingii ila kupandikiza ikaingia! Shida inakuwa kwa nani haswa?Ila bashite ni sperms zake mwenyewe.
Na yeye si akachanganye damu?????Mke kasema kapandikiza hiyo mimba kwa kutumia sperms za unkown sperm donner. Shida hapa mme anamlaumu mke eti kamchanganyia damu. Kumbuka huyu mme alimuacha huyu mama kwa matusi. Ingawa hakukuwa na talaka rasmi.