Msaada: Kuna Mume kapigwa na kitu kizito, naomba tuwashauri

Victoire I'm assessing suck kind of scenario.

Kuna binti yuko Tanzania, mbali na mimi, nataka nimwambie aendelee na maisha yake na mimi nifanye mpango wa familia mpya, ila bado moyo unakataa..
Mwambie tu,ila akifanya kweli baaae usimlaumu.
 
"Nimekuerewa"
 
Hivi ilikuwaje alipokuwa akipiga mimba haiingii ila kupandikiza ikaingia! Shida inakuwa kwa nani haswa?
Itakuwa ana low sperm account. Inabidi abustiwe ili zikaongezewe nguvu maabara.
 
Simple

Mwambieni huyo mwanaume akale alipopeleka mboga

Alipokuwa anatumia sehemu zake za siri kwa starehe zake mbona hakulia? Alipokuwa anamtukana mkewe mbona hakulia????

Kaachwa/kachunwa mpaka mifupa ndio anajua ana mke


Halafu unajiamuliaje tu kumrudia mtu uliyemwacha kwa matusi kejeli na dharau?

Alidhani mke hana sehemu za siri anazo yeye tu????

Akubaliane na hali halisi, asepe moja kwa moja kama alivyodhamiria mwanzo, au kama mkewe atamkubali basi amkubali mtoto

Mwisho kama huna uhakika na maamuzi yako chepuka kimya kimya bila kumshtua mwenzio
 
Mke kasema kapandikiza hiyo mimba kwa kutumia sperms za unkown sperm donner. Shida hapa mme anamlaumu mke eti kamchanganyia damu. Kumbuka huyu mme alimuacha huyu mama kwa matusi. Ingawa hakukuwa na talaka rasmi.
Na yeye si akachanganye damu?????


Hata kama ameipata hiyo mimba kwa ngono shida iko wapi?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…