Wewe siyo mzima kichwani, huwezi kulazimisha kupiga Picha sehemu wenyewe hawataki.
Ikulu ya Marekani kupiga Picha ruksa, ikulu ya Tanzania Picha hawaruhusu, kambi za Jeshi hawaruhusu na sehemu zingine utaona Salama maalum au tangazo la kukataza.
Kama Kwa sababu zako tunahitaji Picha za maeneo hayo kibali utapewa na hao wenyewe wahusika wa maeneo hayo.
Kama ni ikulu waone wenyewe ikulu, kama ni Jeshi ni waone wenyewe na sehemu zote utaratibu ndio huohuo.