Msaada: Kununua madaftari, kalamu na ream papers toka kiwandani

Msaada: Kununua madaftari, kalamu na ream papers toka kiwandani

Abayesu bayesu

Senior Member
Joined
Jan 29, 2018
Posts
119
Reaction score
124
Habari za jioni wapendwa,

Mimi niko Shinyanga nataka kuanza kuuza madaftari, kalamu na ream papers kwa jumla nataka kuagiza mzigo moja kwa moja toka viwandani lakini sijui hivi viwanda vipo wapi hapa Tanzania na kama kuna mtu anafanya biashara hii naomba anitumie hata namba za wahusika.

Ahsanteni
 
Ungesema unamtaji kias gan ndotujue pa kuanzia viwanda vingine vina limit.
 
Nenda keko pale kuna hawa jamaa wanajiita MASUMUN sina uhakika na jina wanatengeneza madaftari.
 
Jaman kwa mtu anayejua kama ukinua kwa bei ya pamoja na aupo kweny huo mkoa ambao kiwanda kipo. vipi usafiri wanakutumia au usafiri ni wako, pia uli ununue moja kwa moja kiwandan wanaitaji kwanzia mtaji wa shingapi? Jaman kwa anaejua atufaamishe
 
Jaman kwa mtu anayejua kama ukinua kwa bei ya pamoja na aupo kweny huo mkoa ambao kiwanda kipo. vipi usafiri wanakutumia au usafiri ni wako, pia uli ununue moja kwa moja kiwandan wanaitaji kwanzia mtaji wa shingapi? Jaman kwa anaejua atufaamishe

Ream papers au photocopier papers(white) kwa Tanzania hatuna kiwanda hata kimoja, tuna import mainly kutoka China, South Africa, Japan, Thailand, Malaysia na kufanya importation ya faida lazima uwe ma capital walau kiasi cha chini kabisa mil.40 ambapo utaweza kuingiza container moja la futi 20 (ream papers only) ukitaka kuagiza chini ya hapo inawezekana lakini faida yake inakuwa kiduchu sana coz foreign suppliers wanapunguza bei ya kununulia ukiwa umechukua walau container moja. Pia hizo bidhaa nyinginezo kama daftari, kalamu etc unaweza ku-import kama ukiona kununua ndani ya nchi hazilipi. Kwa mtaji wako wa 8mil.hizo bidhaa utaweza kuzinunua pale kariakoo kwenye maduka ya jumla (middlemen) na ukazisafirisha mpaka shinyanga with very minimal net profit. Mfano leo hii kariakoo carton moja ya ream huuzwa 42,500 kwa bei ya jimla lakini shinyanga carton moja bei ya jumla nadhani ipo kati ya 47,000 -50,000. Ukikotoa ili uone faida (baada ya kutoa gharama za usafirishaji amd other charges) unakuta faida ni kiduchu sana. Ukitaka ushauri zaidi niruahie contacts zako inbox.
 
Back
Top Bottom