Mlafu
Member
- Sep 17, 2015
- 63
- 53
Ndugu zangu naamini kwa wengi haliharibiki neno.
Nina rafiki yangu alikua akioiga sana punyeto mpaka alipooa ndipo kaacha. Shida inakuja, hawezi kumridhisha mke wake, ndani ya dakika moja anapizz na hawezi rudia tena. Akashauriwa atumie dawa moja inaitwa Erecto ya kuongeza nguvu, shida iliyopo bila hizo dawa hawezi fanya kitu kabisa. Je, kuna dawa ya kuweza kumponya kabisa na tatizo hili?
Naombeni msaada ndugu walau ndoa yake idumu.
Nina rafiki yangu alikua akioiga sana punyeto mpaka alipooa ndipo kaacha. Shida inakuja, hawezi kumridhisha mke wake, ndani ya dakika moja anapizz na hawezi rudia tena. Akashauriwa atumie dawa moja inaitwa Erecto ya kuongeza nguvu, shida iliyopo bila hizo dawa hawezi fanya kitu kabisa. Je, kuna dawa ya kuweza kumponya kabisa na tatizo hili?
Naombeni msaada ndugu walau ndoa yake idumu.