Msaada kuondoa ili gonjwa la ajabu

Msaada kuondoa ili gonjwa la ajabu

Wakuu nimepata mapele makubwa kwenye uume na mapaja na eneo la mavuzi jamani kwa mtu anaye jua dawa ya kuondoa naomba tu aniambie nimetumia dawa bado hali ni tete
punguza kula malayaaa kijana utakufaa. ngono zembe inauwa.
 
Back
Top Bottom