Msaada: Kuotesha nywele kichwani

Msaada: Kuotesha nywele kichwani

TZ-1

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
4,321
Reaction score
7,501
Habari, wakati tunaendelea kuchambua mkataba DP tuendelee na haya.

Mimi kipara kilianza nitokea mdogo, nikiwa na miaka 20 hivi nilianza ona dalili hizo. Niseme tu ni kitu ambacho kimenichukua miaka 3 hadi 5 kuwa na kipara kamili, ndio kitu ambacho kimeninyima na kilinyima sana point/confidence linapokuja swala la kumtokea mtoto mzuri sometimes anakwambia unakipara, wewe mkubwa n.k.

Nimekosa nacho raha na kujiapiza when it come issue ya kutibu kipara kwa gharama za kawaida nitafanya hilo kwakuwa sipendi kipara.

Hapa nilifatilia dawa moja kutoka Kenya kuna kliniki inatoa huduma hiyo lakini sina uzoefu na taarifa zaidi kuhusu hilo.

Wenye experience na hii huduma naomba more information kama madhara, ubora na kadhalika.
 
Komaa nacho kaka, pambana kutafuta pesa, na mimi kilianza nikiwa na miaka 26 dah sasa hivi nimeshakizoea tu hata hao wanawake watakupenda tu ukiwa na chapaa
 
Bro unavoniona kwenye picha ndo nilivo ila ukikutana na Mimi now nna kipara[emoji23][emoji23] na nimeamuwa kukikubari tu.Utaotesha nywele ila hazitokuwa na Afya kama za awali kama una ndevu kama Mimi nyoa Tako la kwenda.
 
Huu Uzi una vituko japo mleta Uzi yupo serious
 
Kubaliana na hali yako ndugu. Piga dongo maisha yaendelee
 
IMG_2985.jpg

IMG_2986.jpg




Tafute hela kaka achana na mambo ya vipara huyo hapo tajiri na kipara chake na ana wakunja kweli kweli [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habari , wakat tunaendelea kuchambua mkataba DP tuendelee na Haya


Mimi kipara kilianza nitokea mdogo mdogo nkiwa na miaka 20 hv nilianz ona dalili hzo niseme tuu nktu ambacho kimenichukua miaka 3 had 5 mitabo kuwa na kipara kamili sambamba ndio kitu ambacho kimeninyima na kilinyima sana point/ confidence linapokuja swala la kumtokea mtoto mzuri somotimes akwambia unakipara , wew mkubwa n.k


Nimekosa nacho Raha na kujiapiza when it come issue ya kutibu kipara kwa gharama za kawaida nitafanya Hilo kwakuw sipend kipara

Hapa nilifatilia dawa moja kutoka Kenya kuna kliniki inatoa huduma hiyo lakini sina uzoefu na taarifa zaidi kuhusu hilo.

Wenye experience na hii huduma naomba more information kama madhara, ubora na kadhalika.

Kwahiyo mkuu kama wanawake wadogowadogo wanakukataa inabidi uanze kusaka wenye umri mkubwa kuanzia 50yrs kupanda juu wao kipara watakuvumilia,
 
Kwahiyo mkuu nywele zilianza kudondoka mojamoja hadi ukajikuta upara huo au ilikuaje?
 
Back
Top Bottom