majid salim
Member
- Dec 10, 2019
- 25
- 7
Kama ndo umeanzahabari zenu wakuu nilikuwa nahitaji msaada wenu mm nimeanza kufuga dread na kama week ya 3 hivi likin sijawahi kutumia mafuta yeyote yale coz mm nilisokota na sabuni 2 sasa leo ndo nimenunua mafuta sasa ya dread sijuwi jinsi ya kutumia unatumia kila siku au katikati ya week au mwisho wa week na je unaweza kupaka mwenyew au unatakiwa uwe na mtu pembeni au hadi uende saloon msaad wenu tafadhali kwa mtu ambaye anajuwa
Sasa unaweza kujipaka mwenyewe au had uend saloon za kwang bd ni fupiKama ndo umeanza
Kwa week mara 1 zikikomaaa unaweza fanya kwa mwez mara2 au 1 inategemea na muda wako au hata mara4 kwa mwezi
Ila kama ni ndefu ni vyema u style ili ziwe maridadi week nzima kabla ya kuosha tena.
Kama hauwezi kunyonga mwenyewe nenda salon ni 10k kama una mafuta yako ni 8ksas unawez kujipak mwenyew au had uend saloon za kwang bd ni fupi
Asant umekuw unanisaidia San mara nyingiKama hauwezi kunyonga mwenyewe nenda salon ni 10k kama una mafuta yako ni 8k
Ila kama unania ya kuji repear mwenyewe angalia tutorials youtube naimani utaweza
😀😀 hay bhn shukraniKama ni vile vidogo kama uchafu[emoji38]
Nakushauri weka mafuta kinganjani mwako jizungushe mwenyewe mpaka zikomae na kurefuka mpaka ukikaribia kuunganisha ndo uanze kwenda salon
We paka kila kila baada ya sik3 au4 ili mafuta yafanye kazisamahani kidog kam unawez kunijib kam nilivo kuambiy mwanzo kwamba vyakwang ni vidog na ww ukaniashauri kam ni vidogo unawez ukaweka mafuta kwenye mkono wako na kujizungusha sas mm nilikuw natak 2 nijuw ni kila siku niwe napak au kila week samahani lakin kam ntakuw nakusumbua
ok asantWe paka kila kila baada ya sik3 au4 ili mafuta yafanye kazi
Naimani umeeelewa
kwan dread zinakuwag wp kam kun sehem nyingine ambayo ww unajuw uniambiy acha kuhoj maswal ya ajabHiyo drade ni ya kichwa ama kwingineko? Tuanzie hapo kwanzs
inabidi awepo mtu wa kukupaka mzeeeiyaHabari zenu wakuu nilikuwa nahitaji msaada wenu mm nimeanza kufuga dread na kama week ya 3 hivi likin sijawahi kutumia mafuta yeyote yale coz mm nilisokota na sabuni 2.
Sasa leo ndo nimenunua mafuta sasa ya dread sijuwi jinsi ya kutumia unatumia kila siku au katikati ya week au mwisho wa week.
Na je unaweza kupaka mwenyew au unatakiwa uwe na mtu pembeni au hadi uende saloon msaad wenu tafadhali kwa mtu ambaye anajuwa.