Andaa kitalu 90cm by 60cm, kitalu kisiwe sehemu inayotumaisha maji, baada ya wiki tatu hamisha miche ya vitungu ukapandikize shambani kwa vipimo vifuatavyo 15cm kati ya mstari na mstari 10cm kutoka mmea hadi mmea. Hakisha shamba lina samadi ya kutosha.