Msaada: Kupata hati miliki ya wazo

Msaada: Kupata hati miliki ya wazo

Ali Nassor Px

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2022
Posts
2,384
Reaction score
3,926
Wakuu habari za mda huu. samahani sana naomba kuulizia hivi nitaweza kupata wapi sehemu ya kusajili wazo langu yani idea yangu ya ubunifu. nataka nisajili idea ( Hati mmiliki ya wazo).

Nina kifaa cha umeme ambacho nimekitengeneza mimi mwenyewe.

ila na hofia naweza nikakipost au kukipeleka sehemu watu wakabeba idea yangu. alafu mimi nisifaidike na chochote kile.

nahitaji msaada wa maelezo wakuu kwa wenye kujua basi naomba anijulishe
 
Kwenye kusajili kifaa chako hakikisha hicho kifaa wewe ndio mgunduzi kwamba hakijawahi kusikika wala kuonekana kwenye hii dunia(IP LAW) ndio maana gunduzi nyingi za kisayansi huwa zinachukua muda mrefu na majaribio mengi sana sio kama yule brother kakopi mahindra car na benz halafu anasema kagundua gari jipya[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom