Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,080
- 2,871
- Thread starter
- #21
Ngoja niangalieKwanini usiigeuze, ukaperuzi hizo mbinu alizoshauri jamaa ni zipi, halafu uwasilishaji wake ukazitengenezea stori ya animation
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niangalieKwanini usiigeuze, ukaperuzi hizo mbinu alizoshauri jamaa ni zipi, halafu uwasilishaji wake ukazitengenezea stori ya animation
Kwa Mimi ninafikiria ungefanya project (research) ambayo pia inaweza kukunufaisha pindi utapo ingia kitaaa au project inayohusiana na kitu unachotarajia kufanya kukuingizia kipato pindi utakapo maliza chuo ,hayo Ni mawazo yangu tuHahhh kujiajiri lazima,hapa ni project presentation tu.
Mzee tushaumiza vichwa zinakataliwa zoteAisee we jamaa fikilisha akili wewe kama ww au fanya research itakayokusaidua badae hata ukimaliza chuo, kwa huu mwanzo ushafika hadi huku kuomba msaada ni dhahiri kuwa badae pia utahitaji usaidiwe final project semister 2!
Mna present lini tena project zenu zilizokataliwa? Ili uanze fanya research kip cha kifanyaMzee tushaumiza vichwa zinakataliwa zote
Jumatatu baada ya X MASSMna present lini tena project zenu zilizokataliwa? Ili uanze fanya research kip cha kifanya
Poleni aisee wale jamaa wanapenda vitu very creativeJumatatu baada ya X MASS
Nipe idea pole haisadiiPoleni aisee wale jamaa wanapenda vitu very creative
Mkuu usichojua ni kwamba ukipeleka title hizo na kupresent kisha ukawa awarded inabaki kuwa mali ya chuo na si yako tena.Kwa Mimi ninafikiria ungefanya project (research) ambayo pia inaweza kukunufaisha pindi utapo ingia kitaaa au project inayohusiana na kitu unachotarajia kufanya kukuingizia kipato pindi utakapo maliza chuo ,hayo Ni mawazo yangu tu
Ndio mkuu naelewaMkuu usichojua ni kwamba ukipeleka title hizo na kupresent kisha ukawa awarded inabaki kuwa mali ya chuo na si yako tena.
Leta hata hizoUngekuwa usoma general compt science au IT ningekupa idea Kam zte ,hko kweny multimedia Msala,
mm mwenyew ndo npo kweny kusubmit title za project
Nakumbuka miaka ya nyuma tittle yetu ilikataliwa, ila tulienda itetea ofisini kwa waalimu mpaka wakaelewa.Nipe idea pole haisadii
Ok mkuuNakumbuka miaka ya nyuma tittle yetu ilikataliwa, ila tulienda itetea ofisini kwa waalimu mpaka wakaelewa.
Nachokushauri kama mna amini tittle iko poa, fanya juu chini ku i deffend waikubali tafuteni maneno mazuri ya kuwafanya waamini ni unique
Na sio lazima iwe unique, mfano kuna watu walifanya project (fyp) kutoa mapungufu ya sr1 and finance systems na kuongezea some contents then walikuwa awareded pia
Yule ngoshaKijana wewe ndio yule project tittle yakoo ni..
NYUMBA NI CHOO
Nimeona mkipigwa ban
Ndugu Kama una ideas kuhusu IT unaweza share nami naitaji.Ungekuwa usoma general compt science au IT ningekupa idea Kam zte ,hko kweny multimedia Msala,
mm mwenyew ndo npo kweny kusubmit title za project
Tittle nzuri ni ile ambayo mnaishap na supervisor wako. Siyo zambi kwa supervisor na mwanafunzi kukaa na kusharp tittle. Humu utingizwa chaka tuProject tittle.
“ The use of innovative methodology (multimedia technology) in increase teaching and learning process in secondary education in Tanzania.
Haya chambua hapo upate heading nzuri au project tittle