MENGO KINGSLEY
Member
- May 23, 2024
- 22
- 12
Nitaweza kupata kweliNenda feri
Sawa mkuuUngeenda kule kunduchi beach ukajichanganye na wavuvi
Kuwa na Imani utapata trustNitaweza kupata kweli
Nashukuru kwa ushauriKuwa na Imani utapata trust
Ungeenda kule kunduchi beac
Wapi apo mkuu nijeKaribu huku..
View attachment 2998497
Kak naitaji ya kwenda kuvua yani hata ya kufanya miezi kama 4kesho wahi asubuh kigamboni
Bw mdogo pole.Kak naitaji ya kwenda kuvua yani hata ya kufanya miezi kama 4
Nenda Kigamboni, Feri,Msasani,Kawe,Kunduchi Mtongani au Kunduchi Ununuio,,,huko kote ni sehemu maarufu za uvuvi Dar.Kak naitaji ya kwenda kuvua yani hata ya kufanya miezi kama 4
Nenda Kigamboni, Feri,Msasani,Kawe,Kunduchi Mtongani au Kunduchi Ununuio,,,huko kote ni sehemu maarufu za uvuvi Dar.
Du,kak unanitisha sasa mbona wadau humuhuwa wanasema KAZI hii inalipa sanaBw mdogo pole.
Vip pikipiki ulikosa ya mkataba?? Shughuli za Uvuvi siyo mchezo na mara nyingi shughuli za Pwani/ uvuvi ukizianza baaaasi wewe unakuwa mlowezi.
Kazi za Madini.
Kazi za Uvuvi.
Kazi za kukata magogo msituni.
Ndugu yangu hizi kazi ukiingia unajiondoa kwenye Ulimwengu wa Binadamu unakuwa mtu wa kujitenga sana.
Piki piki nikikosa mana Nina akiba ya 250k ,ila kwenye kampuni ya WATU CREDIT wanataka kianzio 400k apo bola nijitafute alafu ndio NIENDE kuchukuaBw mdogo pole.
Vip pikipiki ulikosa ya mkataba?? Shughuli za Uvuvi siyo mchezo na mara nyingi shughuli za Pwani/ uvuvi ukizianza baaaasi wewe unakuwa mlowezi.
Kazi za Madini.
Kazi za Uvuvi.
Kazi za kukata magogo msituni.
Ndugu yangu hizi kazi ukiingia unajiondoa kwenye Ulimwengu wa Binadamu unakuwa mtu wa kujitenga sana.
Uko sina wenyeji mkuuNjoo uvue Kagera,
Sawa, wewe ni mzoefu kuvua?Uko sina wenyeji mkuu
Apana si najifunza ukouko ila huwa nina idea ya uvuajiSawa, wewe ni mzoefu kuvua?
Wapi hukuKaribu huku..
View attachment 2998497