Msaada kupata/kusafirisha bidhaa kutoka Kenya

Alivojieleza nadhani anaongea kuhusu mzigo bulk, yaani mkubwa mno, kama sivyo nadhani umemuongezea option nyingine. Kuna watu hapa wamegeuza kabisa mada ya wenyewe.
 

Shukran sana mkuu ngoja nifanyie kazi ushauri wako.
 

Ni material fulani za kutengenezea plates kwa ajili ya printings, ni liquid ila zinauzwa kwa kg, hivo nataka kg kadhaa.
 
Haha unazungumzia mawakili, ngoja nikae pembeni sina hela ya fidia.

Lakini hapana, kama wewe unaleta mawakili, mimi naleta Nissan yeupe. [emoji23]
 
Naaaam! Mwanzi1 ongea na Bishop hapa akuelekeze hadi kwenye hiki kiwanda. Maanake ulivoamka na mguu wa kushoto leo naona ni kama hirizi zako zote ulizozivalia zimeisha betri. Zangu zinatumia solar. [emoji1][emoji1][emoji1]
Usicheze na sayansi yetu ya jadi. Hivi vibuyu hata mzungu hajuwi aanzie wapi Ku uncode.
 
Hii njia ya bus nayo ni nzuri, maana mzigo sio mkubwa.
 
Sio bulk kivile ni kama dumu ya 5 to 10 litres.
Ni material fulani za kutengenezea plates kwa ajili ya printings, ni liquid ila zinauzwa kwa kg, hivo nataka kg kadhaa.
Nilidhani ni mzigo wa tani moja kuenda juu. Basi usijipe stress kibao, MK254 amekushauri kuhusu Dar Express Couriers ama kampuni yeyote ile nyingine. Wasiliana nao kwanza jombaa, watakufanyia processing bila ya kukubidi kusafiri.
 
Haha unazungumzia mawakili, ngoja nikae pembeni sina hela ya fidia.

Lakini hapana, kama wewe unaleta mawakili, mimi naleta Nissan yeupe. [emoji23]
Labda ulete boda boda nyeupe, nissan nyeupe kabla inifikie huku mashinani Nkaimoronya maeneo ya Olemudimusirkon si nitakuwa tayari nishapashwa na intelligence yangu ya undercover moran? Teh teh! [emoji1] Huwa wanavalia kanzu kwahivyo huwezi wastukia. [emoji23]
 
 
Bidhaa kutoka Kenya? Haidhuru ila ningekushauri uchunge zisije zikateketezwa kama wale vifaranga wasiokuwa na hatia ama wale ng'ombe waliopigwa mnanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…