Asante ila nakula mlo mmoja na asubui nakunywa maji ya moto yenye ndimu mkuuvantz nakuomba unywe chai tu kwa chapati mlo wa jioni au usile kabisa!mazoezi hayapunguzi kama asubuhi unakula ndindi,mchana ndindi,usiku ndindi hamna kitu hapo
I wish ningeiweza hiiiNi vizuri miguu iwe 45 degrees halafu unatakiwa uingangamaze na kuirudisha chini taratibu na kichwa kiwe juu kidogo si chini kwenye sakafu/carpet na mikono umeibananisha pembeni ya kiwili kama askari vile nayo iwe imengangamaa. Ukipiga hizi 30 asubuhi na 30 jioni kama una kitambi chenyewe kitaanza kuomba samahani na kutafuta njia ya kutokea. Ila ni muhimu kula healthy pia na kuacha kufakamia kama vile mwisho wa kula duniani umebaki 48 hours tu kuwadia.
Miinuko mkuu na siyo milima kama milimaDar milima tena mkuu?
I wish ningeiweza hiii
Hahahah nimecheka hapo kwenye mwisho wa kula kipenga kimepulizwa bado masaa 48, nilivyomroho ntakula hadi nizimie [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ni vizuri miguu iwe 45 degrees halafu unatakiwa uingangamaze na kuirudisha chini taratibu na kichwa kiwe juu kidogo si chini kwenye sakafu/carpet na mikono umeibananisha pembeni ya kiwili kama askari vile nayo iwe imengangamaa. Ukipiga hizi 30 asubuhi na 30 jioni kama una kitambi chenyewe kitaanza kuomba samahani na kutafuta njia ya kutokea. Ila ni muhimu kula healthy pia na kuacha kufakamia kama vile mwisho wa kula duniani umebaki 48 hours tu kuwadia.
tumia limao sio ndimuAsante ila nakula mlo mmoja na asubui nakunywa maji ya moto yenye ndimu mkuu