Gudasta
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 501
- 788
Hi! wanajamvii,
Natumai wote ni wazima. Naomba kwa mtu yeyote mwenye kufahamu anisaidie kunifahamisha kuhusu jinsi ya kusoma master programme online, nahitaji kujua taarifa zifuatazo:
1. Vyuo vinavyotoa online kozi kwenye nchi za Marekani, denmark, canada, uk na malaysia
2. Jinsi ya kuapply
3. Vyuo vyenye ada nafuu
4.jinsi nitakavyokuwa nasoma je itakuwa ni kwa video au nitatumiwa materials kwa barua pepe au EMS
5. Vipi ubora wa hizi online programmes?
6. mitihani itakuwa inafanywa wapi?
Natanguliza shukrani zangu
Natumai wote ni wazima. Naomba kwa mtu yeyote mwenye kufahamu anisaidie kunifahamisha kuhusu jinsi ya kusoma master programme online, nahitaji kujua taarifa zifuatazo:
1. Vyuo vinavyotoa online kozi kwenye nchi za Marekani, denmark, canada, uk na malaysia
2. Jinsi ya kuapply
3. Vyuo vyenye ada nafuu
4.jinsi nitakavyokuwa nasoma je itakuwa ni kwa video au nitatumiwa materials kwa barua pepe au EMS
5. Vipi ubora wa hizi online programmes?
6. mitihani itakuwa inafanywa wapi?
Natanguliza shukrani zangu