wehoodie
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 1,031
- 1,013
Kuna mtu amepata vyuo viwili kimoja US kingine UK...vyuo hivi havijatofautiana sana kweenye global ranking ya ubora.
Tofauti kubwa ni kuwa US ni miaka2 wakati UK ni mwaka mmoja pamoja na gharama pia. Wazoefu waliosoma nchi hizi tunaomba mawazo yenu ya wapi ni bora. Malengo ni kusoma na kurudi kuendelea kujenga tanganyika.
Shukrani
Tofauti kubwa ni kuwa US ni miaka2 wakati UK ni mwaka mmoja pamoja na gharama pia. Wazoefu waliosoma nchi hizi tunaomba mawazo yenu ya wapi ni bora. Malengo ni kusoma na kurudi kuendelea kujenga tanganyika.
Shukrani