OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,497
- 605
Kuna msichana niliekuwa nae alikuwa ana ujauzito ya kama wiki tatu hivi,kwa kutokujua alitumia dawa aina ya flagyl bila kujua kuwa ingemletea madhara.baada ya hapo ilibidi aende kwa docta kwani alikuwa anahisi maumivu isiyo ya kawaida then docta alimshauri kuwa inatakiwa asafishwe coz angeendelea mimba ile ingeharibika na angepata madhara makubwa kadri ziku zitakazo kwenda.docta alimsafisha vizuri.na mpaka sasa alishapata hedhi km kawaida.cha kunitatiza bado analalamika kuwa anapata maumivu wakati ni miezi miwili mpaka sasa je tumusaidieje huyu mschana.analalamika kuwa maumivu ni makali sana tena hasa chini ya kitovu.