Msaada kuumwa bega la kushoto mgongoni kwa muda mrefu nini tiba

Dinam

Senior Member
Joined
Jan 19, 2011
Posts
116
Reaction score
28
Habari za asubuhi wanajf nina maumivu bega la kushoto kwenye mgongo panauma hata ukibonyeza panauma nimepata tiba toka regency hosp lakini bado kwa sasa nachoma sindano 10 za Neurorubine but maumivu yapo pale pale nipe ushauri
 
Pole sana mi upande huo huo umekufa ganzi ngoja waje wenye taaluma zao watatujibu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…