Msaada: Kuumwa Mishipa ya Kichwa

Msaada: Kuumwa Mishipa ya Kichwa

Ntu

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
1,001
Reaction score
650
Wakuu habarini za mihangaiko.

Ninatatizo la kuumwa na mishipa ya kichwa (katikati ya nyusi za uso na sikio) upande wa kushoto na kulia. Ni tatizo lililojitokeza kama wk mbili hivi zilizopita, huwa nameza paracetamol, inapungua maumivu na siku zinasonga. Ila sasa hivi naona linazidi, napata maumivu makali sana na sometimes hata kichwa nacho huuma sana.

Naombeni ushauri; hii itakuwa ugonjwa gani? Tiba yake ni nini?

Asante wakuu, nasubiri ushauri wenu......
 
Wakuu habarini za mihangaiko.

Ninatatizo la kuumwa na mishipa ya kichwa (katikati ya nyusi za uso na sikio) upande wa kushoto na kulia. Ni tatizo lililojitokeza kama wk mbili hivi zilizopita, huwa nameza paracetamol, inapungua maumivu na siku zinasonga. Ila sasa hivi naona linazidi, napata maumivu makali sana na sometimes hata kichwa nacho huuma sana.

Naombeni ushauri; hii itakuwa ugonjwa gani? Tiba yake ni nini?

Asante wakuu, nasubiri ushauri wenu......
Kunywa Chai ya Tangawizi kila mara kunywa maji ya uvuguvugu kwa wingi.Ikiwa bado haujapona nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
 
Kunywa Chai ya Tangawizi kila mara kunywa maji ya uvuguvugu kwa wingi.Ikiwa bado haujapona nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
Asante, Dr. Ntakutafuta
 
Back
Top Bottom