MSAADA: Kuwashtaki NEC Kutokana na Wino wao usiofutika kidoleni

MSAADA: Kuwashtaki NEC Kutokana na Wino wao usiofutika kidoleni

Young Warlock

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
328
Reaction score
111
Nahitaji msaada kutoka kwa advocates nguli haswaa ili nifile up kesi kwa NEC kwani tangu tarehe 25 October nipige kura, kidole changu hakina ari kabisa......yani kucha inaharibika......ule wino sijui una nini.....sizani kama haya yalikuwa makubaliano yetu na NEC


cc nifah Ibilisi
 
Last edited by a moderator:
Utakuwa unatumia maji ya kichina kuoga....mbona mm ulifika siku ile ile...???
 
yani kicha imezeeka.....imekua nyeusi tiii ka waziri flani ivi mstaafu
 
hapana huyo anakuwa na maradhi ambayo yanasababisha hata kucha kushindwa kukua
 
Utakuwa mgonjwa wewe haraka nenda kamuone daktari
 
Wino haufutiki kwa sababu ya kutokuoga kwako tu na kutonawa mikono. Mbona sisi wengine wiki mbili baada ya kupiga kura wino wote ulifutika!? Weka mazoea ya kuoga kijana.
 
Mie mwenyewe mpaka leo haujaisha ndio kwanza upo nusu kidole huo wino
 
Nahitaji msaada kutoka kwa advocates nguli haswaa ili nifile up kesi kwa NEC kwani tangu tarehe 25 October nipige kura, kidole changu hakina ari kabisa......yani kucha inaharibika......ule wino sijui una nini.....sizani kama haya yalikuwa makubaliano yetu na NEC


cc nifah Ibilisi
Kamanda na hii case ni vyema ikaenda kufunguliwa ICJ
 
Last edited by a moderator:
Sasa mtu kama huna mazoea ya kuoga huo wino utafutikaje mfano?
 
Hahahahahaaa uwiiiiii mimi yangu ndio inaishia.
Namshukuru Mungu maana nilidhani kucha yangu itaoza.

kuna dawa yoyote ulotumia kuuondoa labda??
coz sina hamu kabisaa na NEC
 
Wino haufutiki kwa sababu ya kutokuoga kwako tu na kutonawa mikono. Mbona sisi wengine wiki mbili baada ya kupiga kura wino wote ulifutika!? Weka mazoea ya kuoga kijana.

uwa unaoga kwa kutumia jiwe???
 
Back
Top Bottom