Wadau habari za kazi,
Naombeni msaada, nina binti yangu wa miaka 8 anasumbuliwa na tatizo la kuwashwa. Akianza kuwashwa anajikuna sana,tumeisha enda baadhi ya hospitali lakini bado ufumbuzi haujapatikana.
Mara nyingi tumeambiwa ni mzio,na ametumia dawa lakini hajapata nafuu.Tatizo hili lilimuanza akiwa na miaka minne.
Hivyo naombeni msaada.
Naombeni msaada, nina binti yangu wa miaka 8 anasumbuliwa na tatizo la kuwashwa. Akianza kuwashwa anajikuna sana,tumeisha enda baadhi ya hospitali lakini bado ufumbuzi haujapatikana.
Mara nyingi tumeambiwa ni mzio,na ametumia dawa lakini hajapata nafuu.Tatizo hili lilimuanza akiwa na miaka minne.
Hivyo naombeni msaada.