kinyama icho kinaota, sasa hivi utaanza kujisaidia na damu pia maumivu makali, maumivu yataanza kuja kwa wingi siku zitakavyo kuwa zinasonga mbele, iyo inaitwa PILES,muwasho furani hivi katikati ya tundu au pembezoni!! njoo PM UKU!kabla mambo hajakuwa makubwa!Habari wakuu,
Kuwashwa kwenye njia ya haja kubwa baada ya kujisaidia, nini tatizo na tiba yake?
Natanguliza shukraan
dalili za PILES, kinyama kuota na kujitokeza nje ya tundu na damu! husababishwa sana na vyoo vya kukaa kwa muda mrefu! vyakula, maji, matunda nk! nenda phamancy wakupe dawa ya kubandika/kuingiza sehemu hiyo kabla kinya hakijashamili!Tunaomba kujua tiba ya ugonjwa huu, madaktari njooni mtuelezee zaidi kuhusu athari na tiba ya ugonjwa huu. Tafadhali pia mwenye uelewa wa ugonjwa huu, tunaomba atwambie.
Sio tako mkuu, nawashwa mk**u mkuu wanguMkuu na wew imekuanza?? unawashwa tako mkuu wangu!!!!
umenielewa!Sio tako mkuu, nawashwa mk**u mkuu wangu
mkuu alo vera inafaa ikitumika bila ganda lake la juu,sehemu ambayo ni dawa kwenye mmea huu ni ile nyama yake iliyopo ndani.menya kuondoa layer ya njano,sehemu laini ya ndani inaweza kutafunwa ikiwa "raw" haina uchungu wowote,pia unaweza kutengeneza juice!Mkuu alovera nimetumia sana, lakin bado tatzo alijapona..akhsante kwa ushaur wako
Nimeogopa. Sehemu inayowasha halafu kunakuwa na utelezi. Haya mambo nasikia kwa ke akisema panawasha ukishika unakuta kuna utelezi. Mhhhh.Sio tako mkuu, nawashwa mk**u mkuu wangu
Weka hadharani mkuu....Kama ni haemorroid au fissures dawa ni annusol suppositories pamoja na dawa ambazo ni steroid mf.Scheriproct.Wakati mwingine minyoo aina ya wenchereria bacrofti husababisha shida kama hizo dawa yake ni mebendazole au levamisole (ketrax).Wataalamu zaidi watapita....Bt kuna dawa zinaweza kukusaidia embu nicheck kwa hz no 0768359292 na 0652359291
Hizi story za pm...let us share not play a businessekinyama icho kinaota, sasa hivi utaanza kujisaidia na damu pia maumivu makali, maumivu yataanza kuja kwa wingi siku zitakavyo kuwa zinasonga mbele, iyo inaitwa PILES,muwasho furani hivi katikati ya tundu au pembezoni!! njoo PM UKU!kabla mambo hajakuwa makubwa!
daaaah unaumwa kitu kizuri sana ..ni pm nikuelekeze uje wapi nikupe dawa..
Mkuu Nina shida hii kwa miaka kibao,linanitesa sana,na nimemeza dawa na dawa,nimetumia dawa za minyoo lkn wapi,MIKOA YA NYANDA ZA JUUKUSINI HAKO KAUGONJWA KANAMAJINA YAFUATAYO,,,, PUNKU,,,MONGORA,,,NDONDA,,,,,KITAALAMU NI AMOEBA,, INAKULA INI NA SEHEMU YA UTUMBO WA HAJA KUBWA,,,,dawa zipo ila kama imekomaa unaweza pewa dawa kama 4,,,fragil,,klorokwini na zinginezo,,,ila kimbilia hospital,,,hata choo chako ukifuatilia kinanuka as if kuna kitu kimeoza
MIKOA YA NYANDA ZA JUUKUSINI HAKO KAUGONJWA KANAMAJINA YAFUATAYO,,,, PUNKU,,,MONGORA,,,NDONDA,,,,,KITAALAMU NI AMOEBA,, INAKULA INI NA SEHEMU YA UTUMBO WA HAJA KUBWA,,,,dawa zipo ila kama imekomaa unaweza pewa dawa kama 4,,,fragil,,klorokwini na zinginezo,,,ila kimbilia hospital,,,hata choo chako ukifuatilia kinanuka as if kuna kitu kimeoza
Ohoooo Hapa naona kinachofuatia ni [emoji778] [emoji108] kumegwaBt kuna dawa zinaweza kukusaidia embu nicheck kwa hz no 0768359292 na 0652359291
Mawweee[emoji15] [emoji108] unemegwa 0713.. Muda c mrefuSawa mkuu ntakuchek.
Kwa mtindo huu marinda yanatatuka yenyewe![emoji15] [emoji3]Chukua mgagani uponde kisha weka kwenye sehemu ya haja kubwa kama dk 10. Muwasho wote utaisha na utapona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Madaktar hebu tusaidieni hili tatizo jamen, yaaan mimi nikitoka chooni, nikikaa haina shida ila nikianza movements yaaan nakuwa nawashwa sana. Nimetumia dawa kibao lakini bado naona tatizo lipo, nini solution?
Ulipata dawa ndugu,unisaidie na mmMadaktar hebu tusaidieni hili tatizo jamen, yaaan mimi nikitoka chooni, nikikaa haina shida ila nikianza movements yaaan nakuwa nawashwa sana. Nimetumia dawa kibao lakini bado naona tatizo lipo, nini solution?