Msaada: Kuwashwa njia ya haja kubwa

Hata minyoo huleta tatizo la hiyo miwasho,hivyo jaribu pi kutumia dawa za minyoo
 
Safi sana mkuu
 
Ni PM nikupe maelekezo mkuu. Nilikuwa na tatizo km hilo lkn sasa hv limekwisha kabisa. Ikiwezekana weka no yako ya cm
ndugu nami nipe hyo dawa nina tatizo kama hilo na nimetumia dawa za minyoo lakini haikusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…