Chogotz
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 236
- 105
Habarini wandgu?
Nina simu ya smarphone na huwa natumia muda mwingi saana kutumia kwa ajili ya social media n.k.
Nimejitathimini na kujiuliza je kupitia hizi social media zinazonyonya muda wangu bila faida je siwezi kuzitumia ili kuniingizia pesa?bado sijapata jibu..
Naombeni ushauri nifanye nini kupitia Social media kuweza kuingiza kipato...
Nina simu ya smarphone na huwa natumia muda mwingi saana kutumia kwa ajili ya social media n.k.
Nimejitathimini na kujiuliza je kupitia hizi social media zinazonyonya muda wangu bila faida je siwezi kuzitumia ili kuniingizia pesa?bado sijapata jibu..
Naombeni ushauri nifanye nini kupitia Social media kuweza kuingiza kipato...