Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kamisheni ziko poa sana mie nafanya nao mambo last month nimekula jiwe... japo nilikuwa na mix na max malipo sasa this motnh ntafanya button pay peke yake
Mkuu tunaomba uelezee namna ya kuwa wakala mtaji na masharti mengine then swala la kamisheni nk.
poa mkuu hawa jamaa hawana milolongo sana nitkupa namba zao una nunua simu yao ina os ya android ambayo inakuwezesha kutumia software yao ya button pay kwa urahisi simu hiyo ana kuunganishwa itaku cost laki 3 na nusu. zenu unaweka mtaji unaotaka mwenyewe unaanza mzigo.