Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,063
- 2,566
Salaam wakuu.
Mimi nilikuwa Nanjilinji kulima ufuta ila wakati natoka niliicha Yanga ipo klabu bingwa sasa jana wakati naangalia ratiba ya klabu bingwa nikastaajabu timu yangu pendwa MMBWA FC Sioni baada kuuliza nikaarifiwa kuwa inashiriki kombe la shirikisho kwa hiyo nilikuwa naomba kwa anaefahamu vigezo vya kushiriki hilo kombe la mbuzi kwa anaefahamu.
Mimi nilikuwa Nanjilinji kulima ufuta ila wakati natoka niliicha Yanga ipo klabu bingwa sasa jana wakati naangalia ratiba ya klabu bingwa nikastaajabu timu yangu pendwa MMBWA FC Sioni baada kuuliza nikaarifiwa kuwa inashiriki kombe la shirikisho kwa hiyo nilikuwa naomba kwa anaefahamu vigezo vya kushiriki hilo kombe la mbuzi kwa anaefahamu.