Nkingwamh
JF-Expert Member
- Jan 6, 2018
- 290
- 210
Kama kichwa kinavyosema.gari yangu ni Suzuki escudo tatizo kubwa la gari yangu ni shoti za Mara kwa Mara upande wa Betri kwenye positive teminol hadi inafikia muda inatoa moto kabisa nakama nitachelewa kufungua boneti basi gari inaweza kuteketea nimebadiri mafundi ili kumaliza tatizo hilo lakini wapi na hasa ninapotembea safari ndefu ndio hali hii hutokea sasa sijui tatizo ni nini naombeni msaada wakuu kwa anaejua ili nijue tatizo nini ili nikifika kwa mafundi niweze eleza tatizo lenyewe kwani huwa pengine hua wanashuurikia tatizo ambalo sio