Msaada kwa anayefahamu bei ya Toyota Alphard

unajumlishaje Registration wakati ukilipa kodi registration unalipia hapo hapo au ndo kuwaibia watu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye registration unakua umelipia usajiri wa gari yako ambapo TRA unapewa card ya gari bure ila ww unaeagiza gari unakua unamtuma agent akusaidie kufuatilia hiyo card na kukutengenezea no plate ambapo hiyo huduma kwangu mimi nitakucharge 50k au ukiona huitaji utafuatilia mwnyw tunaipunguza kwny hesabu na ukifuatilia ww inaweza kukuchukua siku3 ila agent anachukua siku moja sababu ya uzoefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
anayejua bei ya hii gari Toyota Alphard naomba anisaidie please!

naimani humu JF ni sehemu ya kupata jibu sahihi kuliko huko mtaani

Total Price:CIF$3,656

(Approx. Exchange Price: TSh 8,432,465)

TOTAL TAXES (TSHS): 9,048,444.94

mkuu jumlisha hizi 8.4 +9.0 + porty charges
 

Yeye hajasema 0 km alphard za bei hizo zipo na si 0 km
 
Ni hivi
Hawa wanakupatia gharama za TRA unalipia na hizo gharama huwa zina registration fee kutegemea na gari husika nyingi huwa ni 400k hadi 500K

Sasa hawa ukishalipia hiyo watakuletea tena hesabu zao zikijumuisha registration na hapo ndio wanakula hela za watu maana watu wengi ni wajinga
Ndio mkuu, em! Tudadavulie hapo tujue jamaa atakavyotula vichwa.

Anyways.

Kila mtu ashinde mechi zake!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…