Msaada kwa anayefahamu

ngosha2011

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
681
Reaction score
87
Mimi ni mtoto wa kiume nasumbuliwa na ugonjwa ambao siujui,umeanza gafla baada ya kufanya mapenzi na mwanamke flan,natokwa na maji maji meupe kwenye uume,nikikojoa mkojo upo safi tu,nilienda kupima mkojo nikaambiwa nna U.T. I nikapewa dozi ya ciplo na flagil nimetumia lakini bado hali inaendelea,yoyote mwenye kujua au kunisaidia ushauri naomba afanye hivyo
 
Nenda kamwone daktari leo hii sasa hivi haraka fanya bidiii wahi hospitali
 
hapo kwenye red sijakuelewa, kijana au mtoto?? ulitumia kinga? rudi hosp kajieleze vizuri.
 
Hii inaitwa Gonorhea mkuu, kwa sasa imekuwa resistant sana kwa antibiotics nyingi sana. Antibiotic ambazo inarespond ni iv ceftriaxone ukichanganya either na doxycycline au clarythromicin. Ila nenda kamwone Dr akuandikie dawa. Au msikilize mzizimkavu na tiba mbadala ili uishie kuwa mgumba. Nakutakia mafanikio mema
 
Onana na daktari mtoto wa kiume, vizuri ukiongozana na huyo bi dada
 
Asante kwa ushauri mzuri nitaufanyia kazi,ila sio kwamba uume unauma hapana sina maumivu yoyote isipokuwa ni hizo dalili ambazo nimeziweka hapo juu,natokwa na majimaji meupe na sio kwa wingi ni kama wiki ya pili sasa
 
Mkuu Mupirocin Mbona una kuja juu kama moto wa kifuu? Unanisakama kama nini Mkuu

vipi lakini mbona hivyo? Kuna Maradhi yanyotibika Hospitalini na Mitishamba pia yanatibika na kuna mardhi

ambayo hayawezi kutibika Hospitalini lakini ukitumia Dawa za mitishamba unapona sasa kuna ubaya gani mtu

ukimshauri aende hospitali kujitibia na asipo pona ndio anaweza kutumia dawa za mitishamba. wewe hujaona

Ushauri wangu jinsi nianvyo wapa watu? mimi siwaambii Watu watumie Dawa za Mitishamab pasipo kwenda Huko

Hospitali kwanza Watumie Dawa za hospitali zenye Sumu drug Side Effect kisha ndio wasipo pona ndio

wanatumia Dawa za Mitishamba Nature Herb upo pamoja na mimi Dr. Mupirocin? acha chuki zako hizo toa

ushauri wa Ki Daktari mimi ndio ninapo Kupenda sio kuleta chuki pasipo sababu yoyote ile asante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…