Ise hv ninapotoa comment npo ndan ya mgugu mwambie akaribie sn huyo mtoto ukwel n shule nzr kimazingra na hata wanafunzi wake weng n wazur kitaaluma n tofauti kabsa shule za kata inategemea na akili ya mtoto mwenyewe ucogope juu ya kashfa za uchawi n imani 2 ya m2 kama ndivyo uchawi upo kote kote,ni kwe2 panda gar kutoka Dodoma shuka njia panda ya berega boda boda itakupeleka hadi shule,ni mwendo wa dakika 5-10 mshukuru mungu huyo dogo kata bonge la shule na wala c mahala pakukulia kama alvosema huyo mdau wanaililia sn wengne.jana watoto ndo wameanza kuja na leo j pili ndo watakuja wengi kwan wanafungua ijuma 3,pia walimu ni wengi sana wala hakuna uhaba wa walimu kama pindi ya nyuma.