Heshima kwenu wakuu!
Yeyote anayejua chuo cha ualimu mbeya lutheran,
je,bado wanapokea wanafunzi wa cheti?
Kama sivyo chuo gani kingine wanachotoa cheti ukiondoa aggrey ttc?
Na ada zake zipoje?
Nashkuru sana kwa michango yenu
Heshima kwenu wakuu! Yeyote anayejua chuo cha ualimu mbeya lutheran, je,bado wanapokea wanafunzi wa cheti? Kama sivyo chuo gani kingine wanachotoa cheti ukiondoa aggrey ttc? Na ada zake zipoje? Nashkuru sana kwa michango yenu