Msaada kwa anayejua kuhusu Third Batch ya mkopo wa HESLB

Nonsense!
Yaani mtoto wa masikini afunge safari toka Lindi hadi Mwanza chuoni, aangalie kama amepata mkopo kisha hakose huo mkopo na afunge safari tena kurudi Lindi!
baki nyumbani kwani umelazimishwa.
 
Mkuu punguza jazba utapata tu mkopo ni halali yako kupata usipanik bado batch zipo nyingi mpaka 9 kikubwa kuomba mungu akusaidie katika hilo,
Usikate tamaa niamin nachosema!

Miaka ya nyuma, mimi nilikosa mkopo first year but nikajipa moyo sana nikafanikiwa kuwa mnufaika badae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…