American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 673
- 974
Kwa mtu yoyote anayejua eneo au ofisi ambazo zimesajiliwa kisheria na zinahusika na ununuzi wa Dhahabu hapa Dar es salam, ninaomba aniPM, na kunijulisha vizuri, juu ya bei ya bei dhahabu sokoni na upatikanaji wa masoko ya Dhahabu hapa Dar es salam.