Msaada kwa anayejua Sheria kudai michango ya mifuko ya Jamii

Msaada kwa anayejua Sheria kudai michango ya mifuko ya Jamii

Joined
Jan 19, 2014
Posts
15
Reaction score
5
Wana JF, nimekuwa nikichangia michango ya Kijamii NSSF kwa muda wa mwaka mmoja wakati nimeajiriwa kwenye Shirika fulani, now nataka kujua kutoka kwenu kama naweza kudai pesa hiyo kwa sasa, mana kuna mtu kaniambia juzi kuwa sheria ya sasa hairuhusu mfanya kazi kuchukua mafao yake hata kama ameacha kazi mpaka atapotimiza umri wa kustafu,, naomba anayejua zaidi anisaidie mawazo. Mana pesa hiyo naipigia hesabu ya kufanya nayo biashara!!
 
mkuu awamu hii kupata nssf yako unapata kama umepunguzwa kazi... ila hadi uipate lazima usote kama mwaka hivi kasoro..

nakushauri ni bora ujikaze ufanye saving mwenyewe ili upate mtaji wako kwa wakati unaoutaka wewe.. maana nssf hawaaminiki...

na wimbo wa viwanda huu sizani kama mafao yatatoka kwa urahisi tena
 
Asante kwa ushauri, nisijepoteza muda na pesa nipiyonayo kufuatilia hiyo pesa kwa muda mrefu sana!!
 
Duu, hii mpya sasa, kwa mtu anyeacha kazi huwa inakuwaje aise,, hebu niafahamishe,, michango yako yote wanakula wenyewe??
 
Back
Top Bottom