clever boy ze don
Member
- Jun 25, 2013
- 65
- 11
ndugu zangu naomba msaidie kwan nili2ma hizo fomu pasipo kuweka sahihi na tarehe kwenye sehemu ambayo inasema ka umekubaliana na mashart ya mikopo weka sahihi yako hapo chn na tarehe. Nahofia kunymwa mkopo nifanyeje jaman.