habar, nina tatizo la kutojisikia raha pindi nifanyapo tendo la ndoa na ki ukwel limekua ni tendo ambalo limenifanya mpaka niwe mbal na wanawake laweza kua lilisababishwa na historia yangu ya nyuma ya kujichua so tafadhar nilikua naomba ushauri kuhusu tiba na namna ya kulikabiri tatizo hili,ahsanteni