Inaonekana kama inflammation, inawezekana mtoto akawa na allergy na kitu, ikiwezekana pata steroid cream, lakini kabla hujanunua umweleze pharmacist umri wa mtoto.
Warts unlikely herpes may be, jambo zuri ni kwenda kwa Dr Kubhoja italeta maana amuone au hata Doctors Plaza Kinondoni morocco kuna dr Pius anapatikana jumamosi asubuhi.