Msaada kwa Expert wa ACCOUNTING

Msaada kwa Expert wa ACCOUNTING

MZUMBE,MUCCoBS,UDSM,UDOM,IFM,SAUT,KIU,TIA,TIA,IAA,ST.JOHN, Kila chuo kina uhasibu hauna dilii
 
Swal hapa..
Ulazima wa laptop na kikokotozi...via accounts experts.!!!

Jomba hii! Vitu lazima f 991na PC cause kila semista una kozi 6 nyingine ku Google is must 😉🙁:sly:
 
Fuata ushauri wa wadau lakin kubwa zaidi kazana kusoma acha usela,sali sana pia
 
Hujakosea ndugu yangu yoote nimeafiki ila tatizo linalokuja hata kutoa hiyo elimu kuna taabu nyingi,uelewa wa watu unatofautiana na wengi wa wenye kuelewa haraka hawapo ktk nafasi muhimu za kuweza badili njia.Sasa waliobaki ni wale walioktk tabaka la walionazo na walio na influence.

Hatuna ujanja hapa tunatakiwa kulijua soko kwa haraka sana, haraka inayozidi hii haraka ya ubadilikaji wa mambo ili tuweze kuikuta dunia na kuanza kwenda nayo. Na pia hatutoweza fika kwa pamoja nchi nzima na wengine hatutofika kabisa.

Ndio maana ninasema elimu sahihi na kuachia time iamue tutakuwa wapi.Tutakuwa uchochoro wa wenzetu kwa kipindi kwani hatuna ujanja. Cha msingi ni kujaribu punguza madhara ya kupokonywa vyote kabla hatujazibuka. Yaani hata hao vipofu wakitupwa mjini wengi kama watafuata njia tofauti ipo chance baadhi wakapona pengine wataanguka ktk rescue team, wengine wataanguka mashimoni wengine watagongwa, etc.

Hapa kidogo nataka elezea kidogo concept ya adapatability na evolution kwa maan isiyo ya kibayojoa sana. Yaani wapo watakaojifunza mazingira na kuweza jua watakavyojibadili na kuweza yatumia kwa faida ya upande wao. Ila bado hatutafika pamoja na mwishowe tutakuwa na ugonjwa mwingine wa kutibu yaani kuwa na watu wachache walioshikilia uchumi uliokuwa km ilivyo kwa nchi km India, South Africa etc. Si muda mrefu utakuta watu chini ya 10% wakishikilia 99.999% ya uchumi wa nchi inayoweza itwa imepiga hatua. Pengine tutakuwa tumerusha rocket anga za juu, tunauza bidhaa na elimu, tuna neuclear na mengine wanayoweza angalia nayo nguvu ya taifa. Ila yote yakabaki kwa vigogo.

Bado ni bora hata hao wachache waokoe kila kitu then baadaye tuanze fanya mabadiliko ya ndani km dilution ili kupata mchanganyiko safi na baadaye kuweza poteza hii sumu ya ujinga.

Good answer,nikweli kabisa ni wewe tu juhudi,na inawezekana ukawa fiti hata aliyekuwa na msingi wa accounts
 
Jamani naomba kujua kama Faculty hii ni ngumu kwa wale ambao hatujasoma Book keepng Olevel wala Adv level.. Kuna ugumu wowote kuikwaa faculty hii..
2po IFM pamoja..


Just report IFM with one principle which says "Every debit entry must have a corresponding credit entry and vice-versa"
 
We unamuelekeza jinsi ya kujiandaa ni mitihani ya IFM, Muelekeze aje kuwa expert ajifunze concept and principles hata akija kujiunga NBAA for CPA iwe rahisi kwa sababu aliyasoma mambo na kuyaelewa... hope hapo umenipata

Poa jomba September nakuja kujiandikisha nbaa nasikia system imechange ila ntakomaa tu nshachoka kuwa cashier mie.
 
Back
Top Bottom