Msaada kwa Godzilla, ana hali mbaya

Msaada kwa Godzilla, ana hali mbaya

marc Anthony mwenyewe na hela zake alilia.

kuna yule mbunge wa kule mwisho wa reli alipotemwa na yule demu prizenta mbona nae alikua kama mwehu,
mwacheni Godzilla ajinafasi na maumivu yake
 
IMG_20170514_072219.jpg
IMG_20170514_072135.jpg
IMG_20170514_072111.jpg
IMG_20170514_072037.jpg
IMG_20170514_071957.jpg
IMG_20170514_071914.jpg
 
mshenzi acha achanganyikiwe dada wa watu alimpenda akajifanya playboy akaleta ujinga acha aisome namba Doreen usigeuke nyuma kwa uyu
Kumbe ni zilla mwenyewe alianza kuzingua.

Kweli karma is a bitch, but one should make sure that the bitch is beautiful.
 
Back
Top Bottom