Msaada: Kwa kijana ambaye hakuwahi kwenda JKT kwa mujibu akitaka kwenda sasa utaratibu ukoje?

Msaada: Kwa kijana ambaye hakuwahi kwenda JKT kwa mujibu akitaka kwenda sasa utaratibu ukoje?

Mbota Matari

Member
Joined
Dec 25, 2018
Posts
29
Reaction score
24
Habari za wakati ndugu zangu waungwana,

Naitwa Mbota Matari, nilihitimu kidato cha sita miaka michache nyuma, kwasababu kadhaa kwa wakati huo sikuweza kwenda JKT- kwa mujibu wa Sheria.

Kwasasa ninatamani kwenda kupata mafunzo hayo kwani ni muhimu ili niweze kuweka mazingira mazuri ya kozi yangu ya History and Political Science Chuo Kikuu.

Hivyo naomba muongozo kwa yeyote awaye na taarifa za namna ya kujiunga JKT kwa mtu ambaye alishamaliza kidato cha sita.

Natanguliza shukrani za dhati kwa ushirikiano wenu.

Ahsanteni.
 
Ualimu wa civics na history hauna uhusiano na mafunzo ya jkt.... Pambana na kozwek dogo
 
Ualimu wa civics na history hauna uhusiano na mafunzo ya jkt.... Pambana na kozwek dogo
Chuo nimeshamaliza mkuu,pia hata ualimu sijasome (haihusiani)na Ualimu japo kibishi naweza fundisha.kadhalika hata ajira za ualimu private school nmemkosa.ndo maana najaribu kuangalia upande mwingine.
 
Back
Top Bottom