Thelonious
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 218
- 452
Wakuu husikeni na mada tajwa hapo juu. Mimi shida yangu natafuta dereva wa gari, lori anayeenda hayo masafa nina kamzigo kangu.
Charges tutaelewana tukishakutana PM.
Pia kama wamjua mmoja asiyekuwepo humu JF unaweza kunirecommend utakuwa umenisaidia sana.
Natanguliza shukrani.
Charges tutaelewana tukishakutana PM.
Pia kama wamjua mmoja asiyekuwepo humu JF unaweza kunirecommend utakuwa umenisaidia sana.
Natanguliza shukrani.