Habari zenu ndugu zangu.... nahitaji msaada wenu saana. Dada angu ni mjamzito wiki ya 15 sasa ila jmn hali yake haitaki kabisa kuimarika ni kutapika nyongo japo kwa sasa sio kila siku sasa kinachonileta kwenu ni rangi husika ya nyongo akianza kutapika inakuwa njano ile kali akiendelea inakuwa ya kahawia sasa je hii ni kawaida au ni tatizo na yanatoka mengi
Lakini jambo lingine ni kiungulia jamn analalamika wakati mwingine anasema anaungua kwenye koo kuna vidonda yaani hata sielewi kwa mfano jana usiku hakula kabisa.
kaka na dada zangu nahitaji mnishauri kwa lolote na huu ni ujauzito wake wa kwanza.... niambieni nimtayarishie nini kwani damu ipo 9.5 akinywa hemovit anatapika.. mimi hadi nakosa lakufanya...... NAOMBENI MSAANA WENU JAMANI
Lakini jambo lingine ni kiungulia jamn analalamika wakati mwingine anasema anaungua kwenye koo kuna vidonda yaani hata sielewi kwa mfano jana usiku hakula kabisa.
kaka na dada zangu nahitaji mnishauri kwa lolote na huu ni ujauzito wake wa kwanza.... niambieni nimtayarishie nini kwani damu ipo 9.5 akinywa hemovit anatapika.. mimi hadi nakosa lakufanya...... NAOMBENI MSAANA WENU JAMANI