Like pulling an OJ Simpson? Hahaaa u better be careful coz you may not be as lucky and end up in the slammer for the rest of your life without the possibility of parole...
Siwezi kuweka details hapa.Kisa ni kirefu sana ili uweze kuelewa "basis" ya jamaa kuthubutu kupeleka kesi mahakamani.In short ilianzia na "negotiations" baina ya mke wa mtu na jamaa maana mwanamke huyo ndiye aliyemwambia jamaa kuwa ana ujauzito wake. Jamaa kusikia basi akawa analazimisha haki, Mwanamke kuona hivyo, ikabidi amwambie mumewe.Mume naye akapambana na jamaa hadi wakapelekana mahakamani.Huko kuna claims na counter claims kuhusu haki kwa kiumbe kitakachozaliwa.
...mmnh, wanawake wa miaka hii!
....huh! Never!....my revenge is always sweet....bila harufu ya damu wala nini "Vulture is a patient bird!"
Oui! They say the best revenge is living well...
Inaonyesha mdada na ndugu zake wanajua mchoro wote na kama sikosei wako happy ila wanaogopa kuvuruga ndoa ya huyu dada. Kwanza Kitanda hakizai haramu, hivyo mwizi alie tu. Otherwise dada aite ndugu zake wakiri kwa jamaa na wawe tayari kuvunja mahusiano na kumwezesha huyo dada kuendelea na mahusiano anayoyapenda, maana inaonyesa yuko karibu saaana na huyo mwiziHamjambo wapendwa, hope wote mmeamka bien, kwa wagonjwa na matatizo mbalimbali poleni. Leo nimepata kisa kimenitatiza kidogo naomba kushare nanyi wapendwa tumsaidie huyu ndugu. Huyu mkaka amezaa na mke wa mtu bila mume kujua na wote wanaendelea kumtunza mtoto sasa ana umri wa miaka mitano. Tatizo mdada anaogopa kusema ukweli kulinda ndoa yake, na mkaka (mwizi) anataka atambulike kwa mwanae japo na yeye ana mke.Mke wa mwizi keshaelezwa kuna mtoto nje kakubaliana na hilo japo hajui ni wapi/ kwa nani. Na familia ya mdada inajua kila kitu.Familia ya kiume na mke wa mwizi imekomaa inataka kumuona huyo mtoto. Mume wa dada hana ajualo. Nisaidieni kaka aanzie wapi, na familia ya mkaka mwizi na mdada ni marafiki toka udogoni..
Nawasilisha.
mambo mpendwa missing u.
....huh! Never!....my revenge is always sweet....bila harufu ya damu wala nini "Vulture is a patient bird!"
...mmnh, wanawake wa miaka hii!
Ila jamani tuende mbele na kurudi nyuma watu tumekua wakali kweli kweli, ila tujiulize ni hao tu ndio wazinzi? tukishapata majibu tujifunze kutokana na hili
</p>baada ya wazazi wa mdada kujua waliazimia kufanya siri kwa pamoja na mtoto ni kafanana na mamake .
Kwa hiyo mmekonkludi nini> Mi nataka nkalale bana!:focus:
tatizo la wanaume ukiwalegezea,ukawa mnyonge wanakukalia kichwani....so selfish creatures....anajua mkewe atamuelewa na hata mbele ya jamii ataeleweka kwa kiasi,kimbembe ni mwanamke......mimi kweli sikubali,kwanza kwanini alimuambia mtoto ni wake?mwanamme wake si rijali au??pumbavu sana huyo mwanamke,anaenda kupanua huko na kutukuza mume wa nje na kumpa credit wewe ndo baba mtoto,kwa kashaonyesha unyonge tangu mwanzo akubali tu kuwa muwazi amuambie mumewe.....moshi ushaanza kuashiria kuna moto.....:smash:
Anaonyesha ni jinsi gani alimpenda huyo mme mwizi na leo hii anaomba ushauri. Kweli hizi ndoa zingine ni matatizo matupu, kwa kuvua nguo tu nje ya ndoa ni kumzalilisha mwenzi wako, je kuzaa nje ya ndoa?. Ni kama vile amemvua mmewe nguo japo mmewe anajiona kavaa kwa vile hajui. Sasa hapo mme mwizi anaona sifa na kumbeza mwenye mke aliyeibwa. Ayanywe maana aliyakologa.
......... Au kama ilikuwa ni bahati mbaya na umeamua kuzaa ya nini kumweleza kuwa ni yake?........