Msaada kwa mkaka

MJ1 salute.....sasa mbona unasahau ile sheria ya mtoto wa nje anakua 'coloured copy'? Believe it....mwenye mtoto atajua tu....kwa njia yoyote! Au utaumbuka tu....kama kisa cha 'mixed race' (nishazoea kuwaita hafu kasti)
Ndio maana nikasema asubiri matokeo mydia kwa sababu kwa kesi hii hiyo colored copy haikuwa (ama sivyo si mume halali angejua?) ........Angejikalia kimya huyu mama na kuomba MUNGU (sijui hata kama huwa anasikiaga sala za hivi) mtoto akizaliwa afanane na yeye!
 
Kibarua siye mmiliki wa mali, na kitanda hakizai haramu. Kaka mwizi hana chake, yeye alikuwa ni kibarua tu!
 
MJ1 salute.....sasa mbona unasahau ile sheria ya mtoto wa nje anakua 'coloured copy'? Believe it....mwenye mtoto atajua tu....kwa njia yoyote! Au utaumbuka tu....kama kisa cha 'mixed race' (nishazoea kuwaita hafu kasti)

hapa atajuaje? kwa kumuangalia kwa macho au? "mtoto kafanana na shangazi wa tukuyu/mjomba wa njoro/pua ya babu yake mzaa baba"...labda awe huo mseto...vinginevyo hii ndoa ingedumu milele...
 

Hapa mjukuu lazima uliandika ukiwa umenuna. Lile tabasamu lako mantashau lazima lilitoweka.....

Yoye hayo kwa hisani ya mwanaume malaya na mwanamke changudoa......sijui mtoto atakuwa nani?:disapointed::disapointed:
 

WoS hujambo mpenzi?

Hapo kwenye red, ni tamthilia, umesoma novel au ni kitu real?

Mi ako konfyuzd asee.....watu wengine wameumbwaje?
 
Reactions: Mbu
hapa atajuaje? kwa kumuangalia kwa macho au? "mtoto kafanana na shangazi wa tukuyu/mjomba wa njoro/pua ya babu yake mzaa baba"...labda awe huo mseto...vinginevyo hii ndoa ingedumu milele...

Jaribu halafu ulete stori za pua ya babu uone moto wake...:A S 13:
 
...eehh, Mapya. Huyo mume wa jirani yako aliipokeaje/aliichukuliaje?
I hope hapakutokea kishindo cha mateke na magumi.

kwanza ilikua kipondo cha haja adi mashemeji walikuwa wanaamulia
mana mume alikua akija kwaza yuko tungi akiingia tu kibao,ngumi,matusi nk
ila bado ana mkewe ila sio ndoa tena ni mazoea tu ya mtt wao wa kwanza...
mana mume mwizi yani hapo home anapikiwa anapakuliwa,,mm ata sielewi uyu mke kamlisha nn mumewe na uyu jamaa mwizi(km vipo vya kulishwa!)

ila maisha yao ni ya ajabu sana,uwa namwangalia jirani namwogopa tu
 
Jaribu halafu ulete stori za pua ya babu uone moto wake...:A S 13:

as nyamayao cwez kujaribu mambo ya hivyo but hapo hakuna mtu atakaenilazimisha kwamba mtoto wangu kafanana na RR wakati mwanangu ni wa mume wangu ila kafanana na shangazi wa ugweno..wewe hapo RR huambiwi ukweli wowote kwamba rafu ye2 imezaa matunda bali nikijua tu nimedaka nakukatisha kiuhusiano then natulia nalea mimba nikishirikiana na mr wangu( achia mbali chotara) kila kitu kwenye lyfe kinawezekana ukijipanga na sio kukurupuka.
 
Jitahidi kumuandaa huyo mdada kisaikologia, kwani ya kuachwa.hapo ndoa hakuna tena hata kama watakuwa ni wa-Kristo kwani kuna tofauti linapokuja suala la uzinzi.
Pia watakapo kuwa tayari kumwambia mkaka basi wahakikishe wako kituo cha polisi kwa usalama zaidi.

Pia mueleze mdada kuhusu effect za kisaikolojia atakaso msababishia mkaka na madhara yake kwa mdada. Jinsi jamaa atakavyokuwa anasoneneka ndivyo maisha ya huyo mdada yatakavyokuwa mabaya.

Pia mdadA asitegemee kuwa huyo jamaa ataendelea kutoa SERVICE kwake mke wake hatakubali kakae naye.

Inauma
 

Unaishi dunia isiyo na wambeya mpenzi eh?
 
We chetuntu mkaka mwizi ulivompelekea maoni kathemaje?
 
Kosa lisilosameheka kutoka moyoni...... Waweza kutamka "nimekusamehe" ili upate kujidanganya kuwa nimeweza kusamehe 7*70...! Lakini kiukweli utakuwa unajidanganya.... Ningekuwa huyo mkaka naenda tena mchana kweupe ili nimdhalilishe huyo dada..... ndio wengine watakoma kufanya dhuluma kama hiyo, iliyofanana na ukatili, unyama, na uovu usio na kipimo wala mpaka....
 

Mdada mwizi aombe talaka kwa mumewe ili akaolewe na mkaka mwizi, ili awe mke mwenza! mkaka mwizi amfuate mume wa madada mwizi amweleze madudu yake ya kumtaka mtoto mwizi.
 
jirani akisema kiatu kimeubana huwezi jua anapata maumivu kiasi gani, wameshachelewa wangemwabia huyo jamaa pindi tu mtoto alipozaliwa kwa sasa talaka lazima
 
huyo mwanaume aache ubinafsi, uchoyo na umimi, mke wa mwenzie amege mtoto adai eboo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…