....mnh! Nyamayao, wanawake wengi husema "ukweli" linapokuja suala hili.
Wengine hufikia hata kuwaambia"ukweli" wanaume wengine wawili - watatu iwapo
hana uhakika ni yupi 'aliyetumbukiza mpira kimiani.'
Sasa BJ unacheka nini wakati wenzako huko wanazalishana...mme wa mtu kwa mke wa mtu......Damn! Hivi nani katenda kosa kubwa zaidi hapo?
Za mwizi arobaini🙂 hamna cha kusaidia hapo acha waumbuke tu shosty!!..mke mwizi anaweza kuambulia talaka..huyo mume mwizi naona yeye kashasalenda kwa mkewe.. mwizi+mwizi=aibu!!Heyyy babes!..umeona wezi🙂)Hapo sasa malaya wa kiume+changudoa aliyeolewa unapata nini??? ha ha
Kuna watu wanapenda shida zinazoepukika kabisa duniani...wakome na jamii iwasute hiyo mijizi miwili iliyolewa na kuoa!!Nyamayao besti hapo bold kweli muhimu, kwanini alijichetua kumwambia kaka mwizi kuwa ana mimba?!..sasa mwenzie kakamilisha mambo kwa mkewe halafu mke mwizi analo na hakika lazima apigwe talaka..bladi stupid!!
Yani alishindwa hata kutumia akili za duniani kudeal na hili tatizo kabla halijafika hapa? kweli mke mwizi hamnazo kabisa!!Ha ha mbavu zangu Asprin...ila sidhani kama hii ni applicable kwa wanandoa wote!!..hata wewe na mama naniii utasemaje??!!..Hatari sana kweli
Game la masaa kadhaa likuvurugie mipango ya maisha hivi jamani kama hawa wezi??no way, walizidi na hakika wapate wanachostahili hamna zaidi!!!
yaani kaka wacha tu, kuna watu akili zao zimelegea kama nyanya za nyongeza, inaudhi kweli....miso u kwa sana tu my broda.
Nyamayao besti hapo bold kweli muhimu, kwanini alijichetua kumwambia kaka mwizi kuwa ana mimba?!..sasa mwenzie kakamilisha mambo kwa mkewe halafu mke mwizi analo na hakika lazima apigwe talaka..bladi stupid!!
Yani alishindwa hata kutumia akili za duniani kudeal na hili tatizo kabla halijafika hapa? kweli mke mwizi hamnazo kabisa!!
yaani kaka wacha tu, kuna watu akili zao zimelegea kama nyanya za nyongeza, inaudhi kweli....miso u kwa sana tu my broda.
Huyo mdada amefanya makosa makubwa sana. Kwanini amesubiri mtoto mpaka amefikia umri wa miaka mitano? Mume wake amemzoea na anajua ni mtoto wake na pia amemuhudumia kwa kila kitu. Leo ghafla aambiwe kuwa mtoto si wako hapo ni mauaji tu!!!!! Hakuna muamana hapo. Kingine hata mtoto mwenyewe naye aambiwe huyu si baba yako ila baba yako ni huyu, kwa kweli kisaikolojia mtoto ataadhirika. Katika hali ya kiubinadamu mtu utakayekuwa naye tangu mdogo kwa ukaribu hata kama si ndugu yako lakini tangu utoto mlikuwa pamoja, mkasoma wote hadi chuo, kiukweli mnakuwa na upendo mkubwa sana kuliko ukioneshwa ndugu yako ukubwani, inakuwa vigumu kuwa na upendo kama yule rafiki yako uliyekuwa naye tangu utotoni.
ushauri:
wazazi wa mke wakutane na wazazi wa mume wazungumze kwanza; nina hakika hakitaharibika kitu watalumbana, lakini hatimaye watafikia muafaka. Baada ya muafaka wa wazazi, hapo ndipo wazazi wa mume wakae waongee na mwanao wamfahamishe hali halisi ya kuwa mtoto si wake, najua atapaniki lakini lazima hatimaye atafikia muafaka na wazazi wake. Hayo yote yakifanyika hakutatokea madhara ya mauaji bali talaka inawezekana ikatokea.
Huyo mke naye aache ukware, yeye ameolewa anahangaika nini? Na wewe kijana nawe una mke ukware wa nini?
He he..nani kakwambia wanawake wote ni waaminifu?na nyie wanaume mliruhusiwa na nani kutoka nje ya ndoa zenu? Bia au vishawishi?..all in all inauma sana mtu anapocheat na kuzaa kabisa mtoto nje, hata mambo yenu yanavurugika tena kama mmeoana ni kabisaa unaweza kupata shock ya maisha!!
Ndoa za siku hizi mikasa tele ambayo inachangiwa sana na tamaa, kushindana/kukomoana,uongo, kupotea kwa nidhamu juu ya maana halisi ya ndoa nk..
Hehehehe watoto watano..wa. mume..wa mwizi..wa mume..wa mwizi..wa mume!Wow mume kabahatika kuchukua wakwanza na wa mwisho!Imagine huyo mtoto ukaribu wake na nduguze utaathirika vipi iki moto utawaka baba mlezi akaanza kumtenga!
Kudadadeki...
Yaani kale kamatesha navokamaindi na navokagharamia afu lije litokee lijitu liseme eti ni mwanaye............afu liwaifu linihakikishie kuwa ni kweli liliteleza bahati mbaya likampanulia upaja tarehe za kunasa.
1. Lianaume na liwaifu yatakuwa kwenye foleni ya kuingia mochware
2. Mi ntakuwa eidha kwenye msako mkali wa polisi, au nasubiria signecha ya JK ninyongwe
3. Matesha atahamia vituo vya kulelea watoto yatima.
Mwisho wa habari!
Kudadadeki...
Yaani kale kamatesha navokamaindi na navokagharamia afu lije litokee lijitu liseme eti ni mwanaye............afu liwaifu linihakikishie kuwa ni kweli liliteleza bahati mbaya likampanulia upaja tarehe za kunasa.
1. Lianaume na liwaifu yatakuwa kwenye foleni ya kuingia mochware
2. Mi ntakuwa eidha kwenye msako mkali wa polisi, au nasubiria signecha ya JK ninyongwe
3. Matesha atahamia vituo vya kulelea watoto yatima.
Hamjambo wapendwa, hope wote mmeamka bien, kwa wagonjwa na matatizo mbalimbali poleni. Leo nimepata kisa kimenitatiza kidogo naomba kushare nanyi wapendwa tumsaidie huyu ndugu. Huyu mkaka amezaa na mke wa mtu bila mume kujua na wote wanaendelea kumtunza mtoto sasa ana umri wa miaka mitano. Tatizo mdada anaogopa kusema ukweli kulinda ndoa yake, na mkaka (mwizi) anataka atambulike kwa mwanae japo na yeye ana mke.Mke wa mwizi keshaelezwa kuna mtoto nje kakubaliana na hilo japo hajui ni wapi/ kwa nani. Na familia ya mdada inajua kila kitu.Familia ya kiume na mke wa mwizi imekomaa inataka kumuona huyo mtoto. Mume wa dada hana ajualo. Nisaidieni kaka aanzie wapi, na familia ya mkaka mwizi na mdada ni marafiki toka udogoni..
Nawasilisha.
Kudadadeki...
Yaani kale kamatesha navokamaindi na navokagharamia afu lije litokee lijitu liseme eti ni mwanaye............afu liwaifu linihakikishie kuwa ni kweli liliteleza bahati mbaya likampanulia upaja tarehe za kunasa.
1. Lianaume na liwaifu yatakuwa kwenye foleni ya kuingia mochware
2. Mi ntakuwa eidha kwenye msako mkali wa polisi, au nasubiria signecha ya JK ninyongwe
3. Matesha atahamia vituo vya kulelea watoto yatima.
Mwisho wa habari!
Ila we ukiteleza usamehewe?
Imekaa vibaya
mwanamke anayezaa nje ya ndoa kupata msamaha kwa mumewe ni ngumu
nahisi harufu ya talaka hapo
hapa Babu yupo kikazi zaidi lol....!!!!!!!!!
Kudadadeki...
Yaani kale kamatesha navokamaindi na navokagharamia afu lije litokee lijitu liseme eti ni mwanaye............afu liwaifu linihakikishie kuwa ni kweli liliteleza bahati mbaya likampanulia upaja tarehe za kunasa.
1. Lianaume na liwaifu yatakuwa kwenye foleni ya kuingia mochware
2. Mi ntakuwa eidha kwenye msako mkali wa polisi, au nasubiria signecha ya JK ninyongwe
3. Matesha atahamia vituo vya kulelea watoto yatima.
Mwisho wa habari!
Ila we ukiteleza usamehewe?
Hapo inajionesha wazi kuwa wewe ni mmoja kati ya wahusika katika hilo tukio.
He he..nani kakwambia wanawake wote ni waaminifu?na nyie wanaume mliruhusiwa na nani kutoka nje ya ndoa zenu? Bia au vishawishi?..all in all inauma sana mtu anapocheat na kuzaa kabisa mtoto nje, hata mambo yenu yanavurugika tena kama mmeoana ni kabisaa unaweza kupata shock ya maisha!!
Ndoa za siku hizi mikasa tele ambayo inachangiwa sana na tamaa, kushindana/kukomoana,uongo, kupotea kwa nidhamu juu ya maana halisi ya ndoa nk..
BW ndo maana wahenga walisema mkuki kwa ngurue mtamu...!Wanaume kibao wanazaa nje na kutaka kusamehewa ila mwanamke yeye hata kufikiriwa mara moja tu hapana!Ni ubinafsi uliokithiri...kama hawataki mbegu za wanaume wenzao majumbani mwao na wao wasisambaze zao kwa watu wengine!Lizzy umeona eeehhe