Msaada kwa mkaka

Msaada kwa mkaka

Hamjambo wapendwa, hope wote mmeamka bien, kwa wagonjwa na matatizo mbalimbali poleni. Leo nimepata kisa kimenitatiza kidogo naomba kushare nanyi wapendwa tumsaidie huyu ndugu. Huyu mkaka amezaa na mke wa mtu bila mume kujua na wote wanaendelea kumtunza mtoto sasa ana umri wa miaka mitano. Tatizo mdada anaogopa kusema ukweli kulinda ndoa yake, na mkaka (mwizi) anataka atambulike kwa mwanae japo na yeye ana mke.Mke wa mwizi keshaelezwa kuna mtoto nje kakubaliana na hilo japo hajui ni wapi/ kwa nani. Na familia ya mdada inajua kila kitu.Familia ya kiume na mke wa mwizi imekomaa inataka kumuona huyo mtoto. Mume wa dada hana ajualo. Nisaidieni kaka aanzie wapi, na familia ya mkaka mwizi na mdada ni marafiki toka udogoni..

Nawasilisha.

Mwambie kama anataka mwanawe ajue kuwa huyo anae ishi nae sio baba akubali kuutwika mzigo atakapo pigwa talaka.
Akubali kabisa pasipo kipingamizi dili likitibuka amtafutie hifadhi kabisa.
Ila wanawake huwa mnakuwa na akili za ajabu sana wewe mke wa mtu unalitamani janaume la mtu unalikabidhi roho na mapafu linakuzalisha na wewe unakubali kwa kuneng'eneka ukijua lijamaa linakupenda subiri utangwe talaka hapo utajua sura za wanaume zilivyo na utajua kuwa sura sio roho. Litakufungia vioo kama halikujui vile.
 
Hamjambo wapendwa, hope wote mmeamka bien, kwa wagonjwa na matatizo mbalimbali poleni. Leo nimepata kisa kimenitatiza kidogo naomba kushare nanyi wapendwa tumsaidie huyu ndugu. Huyu mkaka amezaa na mke wa mtu bila mume kujua na wote wanaendelea kumtunza mtoto sasa ana umri wa miaka mitano. Tatizo mdada anaogopa kusema ukweli kulinda ndoa yake, na mkaka (mwizi) anataka atambulike kwa mwanae japo na yeye ana mke.Mke wa mwizi keshaelezwa kuna mtoto nje kakubaliana na hilo japo hajui ni wapi/ kwa nani. Na familia ya mdada inajua kila kitu.Familia ya kiume na mke wa mwizi imekomaa inataka kumuona huyo mtoto. Mume wa dada hana ajualo. Nisaidieni kaka aanzie wapi, na familia ya mkaka mwizi na mdada ni marafiki toka udogoni..

Nawasilisha.

Za mwizi arobaini🙂 hamna cha kusaidia hapo acha waumbuke tu shosty!!..mke mwizi anaweza kuambulia talaka..huyo mume mwizi naona yeye kashasalenda kwa mkewe.. mwizi+mwizi=aibu!!
 
Mambo mengine yakujitakia tu utafanyaje mapenzi nje ya ndoa mpaka mimba??? Atajibeba

Huyo mwanamke aliye beba mimba na kuzaa huyo mtoto wa miaka 5 natamani nimdunde kanitia kichefu chefu.

Kama aliona tamu si bora angekuwa anajiexpress tu na asingepata mimba kama wanavyo fanya wanawake wajanja.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
CHETU,
Nawajibika kumpa ushauri huyu Mkaka, Asahau kuhusu huyo mtoto kama kweli anampenda huyu mdada, Na kwa kuwa mkaka mwizi ana ndoa yake na ni nzuri tu, Aendelee kuongeza watoto kwa mke Halali, Kitendo anachotaka kufanya kitamsaidia nini? Anataka idadi ya watoto au anamtaka huyo mtoto aliyezaa na mke wa mtu? Je anajua nini kitatokea kwa huyu Mdada? Kama anampenda kweli aachane kabisa na wazo la kumtaka huyu mtoto, isitoshe ni mtoto katika ndoa ya mtu! Unawezaje kudai mtoto katika ndoa ya Mtu?

Renegade asante kwa mchango wako mzuri , tatizo mkaka anadai huyo mtoto ni wa kiume na kwake hana kiume. Na anaona muda unavyozidi ndio mambo yatazidi kuwa mabaya.
 
Za mwizi arobaini🙂 hamna cha kusaidia hapo acha waumbuke tu shosty!!..mke mwizi anaweza kuambulia talaka..huyo mume mwizi naona yeye kashasalenda kwa mkewe.. mwizi+mwizi=aibu!!
hi honey.....
 
Hamjambo wapendwa, hope wote mmeamka bien, kwa wagonjwa na matatizo mbalimbali poleni. Leo nimepata kisa kimenitatiza kidogo naomba kushare nanyi wapendwa tumsaidie huyu ndugu. Huyu mkaka amezaa na mke wa mtu bila mume kujua na wote wanaendelea kumtunza mtoto sasa ana umri wa miaka mitano. Tatizo mdada anaogopa kusema ukweli kulinda ndoa yake, na mkaka (mwizi) anataka atambulike kwa mwanae japo na yeye ana mke.Mke wa mwizi keshaelezwa kuna mtoto nje kakubaliana na hilo japo hajui ni wapi/ kwa nani. Na familia ya mdada inajua kila kitu.Familia ya kiume na mke wa mwizi imekomaa inataka kumuona huyo mtoto. Mume wa dada hana ajualo. Nisaidieni kaka aanzie wapi, na familia ya mkaka mwizi na mdada ni marafiki toka udogoni..

Nawasilisha.

eeh! mnh! ee hee!
Balaa!...

Hapa "na mkoma nyani Giladi" kwenye kesi hii huku namtazama usoni!
Kwanza, Hao wazinifu wote ni wakatili, hawastahiki msamaha wao wa kinafiki
kwenye ndoa zao.

Pili, ni wakatili kwa maslahi na maisha ya huyo Mtoto. Tamaa za miili yao na ubinafsi wao
wanataka sasa kupeleka maafa na irreparrable psychological damage kwenye akili
kwa huyo 'Malaika wa mwenyezi Mungu' na baba yake 'pekee' anayemjua.

Hapana, They have no right to do it! Wamwambie ukweli Mume wa dada,
lakini mtoto wasimwambie.
It is too early!!!
 
Huyo mwanamke aliye beba mimba na kuzaa huyo mtoto wa miaka 5 natamani nimdunde kanitia kichefu chefu.

Kama aliona tamu si bora angekuwa anajiexpress tu na asingepata mimba kama wanavyo fanya wanawake wajanja.


Nidai castle light mbili sawa????
 
Renegade asante kwa mchango wako mzuri , tatizo mkaka anadai huyo mtoto ni wa kiume na kwake hana kiume. Na anaona muda unavyozidi ndio mambo yatazidi kuwa mabaya.

... e bana ee, hakuna cha kujustify uzinifu wake, huyu jamaa vipi? duh! ananitia hasira sana aisee...busara zangu zinapungua kwenye kesi hii. Aache kuzungumza pumba bana. Binafsi naskia harufu ya damu kwenye kesi hii...This is not right!
 
Renegade asante kwa mchango wako mzuri , tatizo mkaka anadai huyo mtoto ni wa kiume na kwake hana kiume. Na anaona muda unavyozidi ndio mambo yatazidi kuwa mabaya.
Kumbe tatizo ni jinsia ya mtoto ndio maana jamaa anamng'ang'ania mtoto!!
 
mbona mkaka tu ndo anaitwa mwizi kwenye hii post? huu ni ubaguzi wa kijinsia.

ushauri zaidi nitatoa baadae.

...kabisa bana!

Inakuwa ngumu sana kwa mwanaume kugundua hasa kama anamwamini sana mke wake. Wanawake wana siri nyingi sana hasa zinazohusu watoto, kuna dada yetu mmoja alipofariki yeye na mume wake, tulishangaa alipokuja jamaa mwingine kudai mtoto kuwa ni wake. Tulikosa la kusema maana mtoto alikuwa ni fotokopi ya yule jamaa, lakini yule mtoto alikuwa anapendwa sana na baba yake aliefariki, sipati picha yule baba angekuwa hai!!

...haya sasa, kuna wanawake wakatili sana duniani!

Mume B*w*e*g*e*!

...usitukane mamba kabla hujavuka mto, Ombea yakupitie mbali haya...
utakuja kutulilia hapa! Kwani hawa kina baba walipenda haya?
 
... e bana ee, hakuna cha kujustify uzinifu wake, huyu jamaa vipi? duh! ananitia hasira sana aisee...busara zangu zinapungua kwenye kesi hii. Aache kuzungumza pumba bana. Binafsi naskia harufu ya damu kwenye kesi hii...This is not right!

Mbu acha kabisa kibaya dada ndoani ana watoto 4 plus huyu wa mkaka. Sa hizi ana kachanga 5 months.
 
kuna watu wanapenda matatizo kwenye maisha haya jamani, yaani wanaumba tabu kwa makusudi kabisa, kulikuwa na ulazima gani huyo dada alipata hiyo mimba na kumweleza huyo kaka kwamba ni yake?...c ameolewa yeye sasa alishindwa hata kuhic madhara ya mbeleni?kuna wanawake manunda mpaka bac...ndio kila cku nasema jamani sio kila kitu cha kumshirikisha mume/mpenzi wako, angalia na kesho kitaku cost vipi.
 
Naomba nimuulize mtoa mada...

Huyu malaya wa kiume (wu enamwita kaka mwizi), alipima DNA kujihakikishia kuwa huyu mtoto aliyezaliwa na huyo changudoa aliyeolewa ni wake?
 
Naomba nimuulize mtoa mada...

Huyu malaya wa kiume (wu enamwita kaka mwizi), alipima DNA kujihakikishia kuwa huyu mtoto aliyezaliwa na huyo changudoa aliyeolewa ni wake?

Hapo sasa malaya wa kiume+changudoa aliyeolewa unapata nini??? ha ha
Kuna watu wanapenda shida zinazoepukika kabisa duniani...wakome na jamii iwasute hiyo mijizi miwili iliyolewa na kuoa!!
 
Naomba nimuulize mtoa mada...

Huyu malaya wa kiume (wu enamwita kaka mwizi), alipima DNA kujihakikishia kuwa huyu mtoto aliyezaliwa na huyo changudoa aliyeolewa ni wake?

ngoja nimuulize , ntarudi. Ila mdada anafahu mapito yake.
 
Mbu acha kabisa kibaya dada ndoani ana watoto 4 plus huyu wa mkaka. Sa hizi ana kachanga 5 months.

...haya ona sasa? Mume mtu akijua haki ya nani hataamini mtoto wake yeyote.
Hii ndio ile ninayoita irreparable psychological torture!
Haikubaliki!

Naomba nimuulize mtoa mada...

Huyu malaya wa kiume (wu enamwita kaka mwizi), alipima DNA kujihakikishia kuwa huyu mtoto aliyezaliwa na huyo changudoa aliyeolewa ni wake?

...haha, hili 'skendeli' limeku touch mkuu! Tupeane pole.
 
Mwambie kama anataka mwanawe ajue kuwa huyo anae ishi nae sio baba akubali kuutwika mzigo atakapo pigwa talaka.
Akubali kabisa pasipo kipingamizi dili likitibuka amtafutie hifadhi kabisa.
Ila wanawake huwa mnakuwa na akili za ajabu sana wewe mke wa mtu unalitamani janaume la mtu unalikabidhi roho na mapafu linakuzalisha na wewe unakubali kwa kuneng'eneka ukijua lijamaa linakupenda subiri utangwe talaka hapo utajua sura za wanaume zilivyo na utajua kuwa sura sio roho. Litakufungia vioo kama halikujui vile.

mie ishu yangu kubwa na huyu dada ni kwamba alishindwa kusoma alama za nyakati, kulikuwa na ulazima gani kumwambia huyo mwizi mwenzie kwamba mimba ni yake?
 
Hapo sasa malaya wa kiume+changudoa aliyeolewa unapata nini??? ha ha
Kuna watu wanapenda shida zinazoepukika kabisa duniani...wakome na jamii iwasute hiyo mijizi miwili iliyolewa na kuoa!!

Hahhaha

Unajua chanzo cha cheating kwenye ndoa?..............Ni kimoja tu: Pale Malaya wa kiume anapooa na changudoa wa kike anapoolewa!

Hatari sana hii!
 
Back
Top Bottom