France Noel
Member
- Jan 17, 2013
- 17
- 3
Salamu nyingi zikufikie hapo ulipo.
Dhumuni langu na shida yangu kuu ni kuomba msahada wa mawazo na kitaalamu. Kunatatizo limemtokea mke wangu, kwani linapelekea kunichanganya mimi na yeye pia. Kwa kifupi nikwamba;tulikuwa tunategemea kupata mtoto, nibaada ya yeye kuniambia anahisi mabadiliko flani ndani ya mwili wake ikiwapo chuchu kumuuma, na kuhisi mabadiliko ya tumbo lake kwa kuongezeka ukubwa tofauti na kawaida.
Kingine nikwamba ameshindwa kuziona siku zake kama kawaida, kwani alizoe kuziona tarehe 6 mwezi wa2 na tarehe 4mwezi wa3, kwa mwezi wa4 alitegemea labda angeziona kwanzia tarehe 2 lakini ikawa tofauti. Ndipo tukajipa matumaini uwenda wife amekwisha nihifazia ndani kiumbe changu, furaha tele zikanitoka, zawadi nyingi nikawa na mletea.Lakini leo nimeshtuka baada ya kuniambia anatokwa na damu ukeni!
Nikiangalia tarehe inasema tarehe 13/4, sasa mbona sielewi kwanini yanatoke aya tena? ndipo nikaamua kutafuta ushauri umu kabla sijafanya lolote.
Naombeni ushauri wenu wanajamvi.
Dhumuni langu na shida yangu kuu ni kuomba msahada wa mawazo na kitaalamu. Kunatatizo limemtokea mke wangu, kwani linapelekea kunichanganya mimi na yeye pia. Kwa kifupi nikwamba;tulikuwa tunategemea kupata mtoto, nibaada ya yeye kuniambia anahisi mabadiliko flani ndani ya mwili wake ikiwapo chuchu kumuuma, na kuhisi mabadiliko ya tumbo lake kwa kuongezeka ukubwa tofauti na kawaida.
Kingine nikwamba ameshindwa kuziona siku zake kama kawaida, kwani alizoe kuziona tarehe 6 mwezi wa2 na tarehe 4mwezi wa3, kwa mwezi wa4 alitegemea labda angeziona kwanzia tarehe 2 lakini ikawa tofauti. Ndipo tukajipa matumaini uwenda wife amekwisha nihifazia ndani kiumbe changu, furaha tele zikanitoka, zawadi nyingi nikawa na mletea.Lakini leo nimeshtuka baada ya kuniambia anatokwa na damu ukeni!
Nikiangalia tarehe inasema tarehe 13/4, sasa mbona sielewi kwanini yanatoke aya tena? ndipo nikaamua kutafuta ushauri umu kabla sijafanya lolote.
Naombeni ushauri wenu wanajamvi.